KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, September 3, 2012

DREAM TEAM YAENDELEA VEMA NA KAMBI NCHINI AFRIKA KUSINI.

Waakilishi wa Tanzania kwenye kambi ya soka ya kimataifa wakiwa kwenye picha ya pamoja Pretoria, Afrika Kusini mwishoni mwa wiki. Nchi 15 ziko kwenye kambi hiyo ambayo inaongozwa na makocha kutoka Klabu ya Uingereza- Chelsea.
Kocha kutoka Klabu ya Chelsea ya Uingereza Robert Luke Udberg akimpa maelekezo mchezaji wa Copa Coca-Cola wa Tanzania wakati wa mazoezi kwenye viwanja vya St. Albanas College, Pretoria Afrika Kusini mwishoni mwa wiki. Timu ya Tanzania ya Copa Coca-Cola hiko kwenye kambi ya kimataifa ya soka ya wiki mbili nchini Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment