rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 ENDAPO UNATAKA KUTANGAZA NASI LAKINI PIA KAMA KUNA TAARIFA YOYOTE YA KIMICHEZO.

Wednesday, May 22, 2013

RAMON CALDERON: CHELSEA WAKO KATIKA NAFASI NZURI YA KUMNUNUA CRISTIANO RONALDO KWA PAUNI MILIONI 80

Wanted: Mourinho hopes to bring Ronaldo with him from Real Madrid to Chelsea this summer
Mourinho anamatumaini kumchukua Ronaldo kutoka Real Madrid majira ya kiangazi.

 Rais wa zamani wa Real Madrid Ramon Calderon amezungumzia juu ya uwezekano na mwelekeo wa Cristiano Ronaldo hapo baadaye kufuatia Jose Mourinho kuelekea Chelsea wakati huu ambapo Manchester United ikikanusha kutaka kumsajili tena nyota huyo raia wa Ureno.

 Ronaldo mwenye umri wa miaka 27, yuko katikati ya vita ya kuwaniwa kwa gharama ya pauni milioni £80 baada ya taarifa kuzidi kuzagaa kuwa mreno huyo kutokuyafurahia tena maisha katika mji mkuu wa Hispania Madrid.

Alipoulizwa juu ya kama mreno huyo mwenye kiwango cha juu alikuwa na furaha ndani ya Real Madrid, Calderon amesema 'Ronaldo alisema hakuwa ni mwenye furaha tangu kuanza kwa msimu. Nadhani mahusiano Rais wa sasa si mazuri, pengine kwasababu Rais hakupenda mchezaji huyo aliyemrithi.
 One of the best: Ronaldo scored his 55th goal of the season for Real Madrid last night
 Ronaldo amefunga jumla ya magoli 55 msimu huu katika klabu ya Real Madrid.
 
Vilabu vitatu vya Manchester City, PSG na Chelsea vinatajwa kuwa na uwezo wa kumlipa mshambuliaji huyo, ambapo Calderon anasema  hadhani kama kila klabu inaweza kulipa ada hiyo ya uhamisho kwa mchezaji huyo.

'Real Madrid wanaelekea kuzungumzia juu ya mkataba wake na watatoa maamuzi. Ni jambo ambalo tutalijua ndani ya wiki chache zijazo.
United walikuwa wa kwanza kujitokeza kutaka kumsajili endapo Real itaamua kumuuza ili aweze kurejea Old Trafford.
 
Lakini hata hivyo Mourinho, ambaye amefanya naye kazi kwa miaka mitatu ndani ya Bernabeu amemuongeza katika orodha yake ya awali.

Wayne Rooney, ambaye alionyesha kuitaka Chelsea, pamoja na mshambuliaji wa Napoli Edinson Cavani pia wanatakiwa na Mourinho.
On the list: Napoli's Edinson Cavani is also wanted by Mourinho
On the list: Manchester United's Wayne Rooney is also wanted by Mourinho

Pichani juu: Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney (kushoto) na Edinson Cavani wa Napoli pia wanatakiwa na Mourinho

Spending spree: Abramovich is set to give Mourinho £100m to spend this summer
Abramovich anajipanga kumpa Mourinho pauni milioni  £100 ya matumizi ya kiangazi.

Ronaldo ameitumikia Real Madrid kwa misimu minne lakini sasa anaonekana kukerwa na anakosa raha ndani ya klabu hiyo.

Ingawaje haitakuwa na uwezo wa kuwashawishi washambuliaji wote watatu kujiunga na Chelsea, klabu hiyo imedhamiria kwenda vizuri katika usajili wa kiangazi.

Mahusino ya Mourinho na Ronaldo yalikuwa katika mashaka makubwa mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya mshambuliaji huyo kuonekana akipiga kelele mbele ya Mourinho kwa maneno yanayodhaniwa kuwa yalikuwa ni matusi ya ‘**** you’ baada ya kuifungia Real goli la 200.

Ronaldo inasemekana alitumia lugha ya kireno yaliyotafririwa kama ‘I’m here, I’m here’ wakati kocha huyo akiwa katika maandalizi ya kuondoka Hispania katika klabu ya Real baada ya kuifundisha kwa kipindi cha miaka mitatu.

MANENO YALIYO ANDIKWA NA WACHEZAJI WAKONGWE WALIOSTAAFU MANCHESTER UNITED JUU YA KILE WANACHOKUMBUKA ENZI ZA KUCHEZA SOKA ...............SOMA.

David Beckham
David Beckham of Manchester United

Beckham anastaafu mwaka huu baada ya kungara katika soka akiwa katika kiwango.

Kuna siri nyingi zilizo jificha juu ya mafanikio yaliyotukuka na yasiyokuwa ya kawaida yaliyo jificha ya Sir Alex Ferguson akiwa na Manchester United na kwa kupitia makabrasha imeonekana kuwa ni pamoja na maandalizi ya mapema kuwa ni moja kati ya hayo.
 
Mapema huko nyuma katika miaka ya 1990 kikosi maarufu cha Ferguson ambacho kiliwajumuisha wakali kama David Beckham, Paul Scholes na Gary Neville, kiliulizwa kutoa maelezo juu ya kusakata kwao soka la kiwango cha juu yaani professional football na kuelezea japo kwa kiduchu wanachokumbuka enzi za soka lao la ujana.

Akiwa na umri wa miaka 17 mkongwe Beckham alidokeza juu ya fainali ya michuano ya vijana ya mwaka 1991 kuwa ni mchezo ambao alicheza vizuri kwa kuandika maeno haya

 'My best game was the youth cup final in 1991 against Crystal Palace 1st leg when we won 3-1 and everythink (sic) went right and I scored a good goal + set up 1 and the crowd was really good and load (sic).'
Reflective: David Beckham's notes as a 17-year-old in the early 1990s
Dokezo la David Beckham akiwa na umri wa miaka 17 mapema miaka ya 990s

Beckham hakufurahia mchezo wa pili licha ya kudai kuwa c**p and the officials were also c**p.
 
Lakini Beckham hakuwa peke yake kutua macho juu ya kiwango chake.
 
Ryan Giggs, pengine ameonyesha juu ya kile kilichopelekea kuwepo katika soka kwa kipindi kirefu ambapo hakuweka maneno ya kuonyesha mchezo aliocheza kwa uzuri.

Alichokifanya ni kudokeza juu ya kiwango kibovu alichocheza katika mchezo dhidi ya Oldham akisema kiwango hakikuwa kizuri. Ameandika 
'I got marked out of the game and I must of kicked the ball about twice.'
Scathing: Ryan Giggs couldn't highlight a match in which he played well
Ryan Giggs hakuweza kutaja mchezo aliocheza vizuri.
Medals: Giggs has won 13 Premier League titles and two Champions Leagues at United
Giggs ameshinda mataji 13 ya Premier League na mawili ya Champions Leagues akiwa na United

Still going: The 39-year-old came off the bench against West Brom in a 5-5 draw at the weekend
Ryan Giggs akiwa na umri wa miaka 39 alicheza mchezo huo akitokea benchi mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya bao 5-5 na West Brom.

Gary Neville pia ameonyesha kuwa alikuwa ni mchezaji wa aina gani alikuwa katika michezo aliyocheza vizuri licha ya kuangalia kiwango kilichoonyeshwa na timu.

Aliuelezea mchezo pili wa fainali wa michuano ya vijana dhidi ya Leeds kama mchezo aliocheza vibaya na kusema 
'didn't feel in the game'.

Neville kwasasa anafanya kazi ya kutathmini soka katika luninga la Sky Sports pamoja na kufanya kazi ya ukocha akiwa na kikosi cha England pamoja na Roy Hodgson.

Short and sweet: Gary Neville kept his notes very brief
Maneno ya dokezo kutoka kwa Gary Neville

One of many: Beckham and Neville lift the Premier League trophy in 1996
Beckham na Neville wakishikilia kombe la ubingwa wa Premier League mwaka 1996

Simple: Paul Scholes didn't offer much insight in his notes
Paul Scholes hakutoa maneno mengi ya dokezo la soka lake.
Final bow: An emotional Scholes walks back to the dressing room after his final match at The Hawthorns
 Scholes

Paul Scholes aliandika 
 'I thought I played well in the FA Cup semi-final second leg against Millwall in which we needed to win 2-0 to progress to the final.'
'The worst game I played in was the second leg of the final against Leeds Utd where we were beaten 2-1 and lost the cup.'

MANCHESTER CITY WATAMBULISHA UJI MPYA WA UWANJA WA NYUMBANI MSIMU UJAO................SOMA

Trim: The sky-blue jersey is complete with a navy and white lining
The sky-blue jersey is complete with a navy and white lining.
Manchester City imeutambulisha uzi wao mpya wa uwanja wa nyumbani wa msimu ujao  ndani ya mpango wao mpya wa vifaa wenye  thamani ya pauni za kingezeza £72 na kampuni ya Kimarekani ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Nike mjini New York.
City imetangza mwaka jana kuwa itahama kutoka kampuni ya Umbro, lakini kabla ya hapo mpango huo ulikuwa chini ya Nike, kwa mpango wa pauni milioni £12 kwa miaka sita.

Makubaliano hayo yana fanya malengo ya City kukua kimapato katika kipindi kijacho cha matumizi ya sera ya financial fair play.
New look: Manchester City launched this kit in New York on Tuesday afternoon
New look: Manchester City launched this kit in New York on Tuesday afternoon
 
City launched their first Nike kit at a media event in New York, where the team are currently based on their post-season tour.
Stars Joe Hart, Vincent Kompany, Pablo Zabaleta, Jack Rodwell, Carlos Tevez, James Milner and Matija Nastasic, revealed the strip, which is the traditional sky blue with white and navy trim.
The deposed Premier League champions said of their new home kit: 'The kit pays homage to City’s heritage while reflecting the future. The shirt is a classic football design, and unmistakably City, featuring a sky blue body with a white ribbed crew neck and cuffs. 
'The collar and cuffs also feature a dark blue trim to represent the colour of the socks City wore as a part of one of their first ever kits in 1892. Weighing only 150 grams, and made from recycled polyester, it is the lightest shirt Nike has ever produced.'
The club crest has been embroidered inside the shield shape to pay tribute to the Manchester coat of arms and inside the neck, the words 'Pride in Battle' are stitched, the translation of the club motto Superbia in Proelio.
Goalkeeper Hart also had his new green kit to show off in the New York sunshine. The City crest is on top of a green shield with white stripes on the shoulders.
City will wear the new kit for the first time when they take on Chelsea at the Busch Stadium in St Louis on Thursday and Yankee Stadium in New York on Saturday.
Nike, who also unveiled the new England kit on Monday, added: 'The kit showcases Nike’s inherent belief in style, craft and strong aesthetics, while aiding the performance of players with key technological features.'
Tom Glick, City's chief commercial and operating officer, said: "We are delighted to join forces with Nike.
Eye on the ball: James Milner shows off City's new strip in New York
Eye on the ball: James Milner shows off City's new strip in New York
Eye on the ball: James Milner shows off City's new strip in New York
Getting involved: Gael Clichy tries the sky-blue strip out for size
Getting involved: Gael Clichy tries the sky-blue strip out for size
'Having them as our new technical kit partner demonstrates City's growing global appeal, and we look forward to working alongside Nike to build and engage our fanbase around the world.
'Nike's extensive distribution networks will ensure the club's presence in markets stretching from Africa, Europe, Asia and the Americas and that our fans everywhere can find a City shirt.'
As well as playing matches against Chelsea, City are also undertaking a number of commercial and community activities in New York to bolster awareness of their brand.
The club have also announced they have acquired the rights to Major League Soccer's 20th expansion franchise from 2015 in a partnership with the New York Yankees.
Joe Hart
Glimpse: Joe Hart

Glimpse: England No 1 Joe Hart wore City's new goalkeeping kit
James Milner
Samir Nasri

Pitching in: Samir Nasri and Milner (right) have a kickabout in the 2013-14 strip
Watch and learn, Gael: Milner shows his prowess as Clichy watches
Watch and learn, Gael: Milner shows his prowess as Clichy watches
Role reversal: Clichy grabs the camera during the photoshoot
Role reversal: Clichy grabs the camera during the photoshoot

Role reversal: Clichy grabs the camera during the photoshoot
Thumbs up: Kolo Toure and some other City players visited the New York Fire Department
Thumbs up: Kolo Toure and some other City players visited the New York Fire Department
Trying on the headgear: Maicon, Richard Wright, Emyr Huws, Dedryck Boyata, Micah Richards, Gareth Barry, Joleon Lescott, Albert Rusnak , Karim Rekik and Kolo Toure visit FDNY
Trying on the headgear: Maicon, Richard Wright, Emyr Huws, Dedryck Boyata, Micah Richards, Gareth Barry, Joleon Lescott, Albert Rusnak , Karim Rekik and Kolo Toure visit FDNY
 

MWAMUZI WA AFRIKA KUSINI KUICHEZESHA STARS MOROCCO

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limemteua mwamuzi kutoka Afrika Kusini kuchezesha mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia, Kanda ya Afrika kati ya Tanzania (Taifa Stars) na wenyeji Morocco (Lions of the Atlas).

Mechi hiyo ya kundi C itachezwa Juni 8 mwaka huu jijini Marrakech, Morocco kwenye Uwanja wa Grand kuanzia saa 3 kamili usiku kwa saa za Morocco. Mwamuzi atakayechezesha mechi hiyo ni Fraser Daniel Bennett.

Bennett atasaidiwa na Thusi Zakhele Siwela pia wa Afrika Kusini, wakati mwamuzi msaidizi namba mbili atakuwa ni Marwa Range kutoka Kenya. Mwamuzi wa akiba (fourth official) ni Lwandile Mfiki wa Afrika Kusini.

Kamishna wa mechi hiyo ni Robert Mangollo-M’voulou wa Gabon wakati mtathimini wa waamuzi (referee assessor) ni Charles Masembe kutoka Uganda.

Taifa Stars ambayo iko chini ya Kocha Kim Poulsen, na ikidhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager tayari iko kambini katika hoteli ya Tansoma ikiendelea kujinoa kwa ajili ya mechi hiyo ambapo kabla itajipima na Sudan (Nile Crocodiles) Juni 2 mwaka huu jijini Addis Ababa, Ethiopia.

Ratiba ya mazoezi kwa timu hiyo ni kama ifuatavyo;

Mei 22                 Saa 10 jioni                             Uwanja wa Karume
Mei 23                 Saa 1 asubuhi na Saa 10 jioni   Uwanja wa Karume
Mei 23                 Saa 10 jioni                             Uwanja wa Karume


Mei 25                 Saa 1 asubuhi na Saa 10 jioni     Uwanja wa Karume
Mei 26                 Saa 3 asubuhi                            Uwanja wa Karume

Tuesday, May 21, 2013

MANCHESTER UNITED WAKUNJA PAUNI MILION 60 ZA MALIPO YA LUNINGA HUKU QPR WAKISHIKA MKIA. SOMA TAARIFA UJUE KLABU YAKO IMEPATA KIASI GANI.

We're in the money: Premier League champions Manchester United earned £60.8m from television
We're in the money: Premier League champions Manchester United earned £60.8m from television

Mabingwa soka nchini Manchester United imefanikiwa kuingiza kiasi cha pauni milioni £60 kupitia maonyesho ya moja kwa moja katika michezo ya ligi kwa njia ya luninga msimu uliomalizika na kuongoza katika katika orodha ya timu ambazo michezo yao ilionyeshwa zaidi kupitia Luninga kwa michezo 25(live match table).
 
Liverpool na Arsenal zimefungana katika nafasi ya pili zikiwa zimeonyeshwa katika luninga kwa michezo 22 huku Manchester City na Spurs wakipata michezo 21 ya kuonyeshwa moja kwa moja.

Kwa mshangao ni kwamba Chelsea ilipata kuonyeshwa mara 16 licha ya kumaliza katika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi.
Second best: City were the closest challengers to United in the race for the title and in the TV pay scale
Second best: City were the closest challengers to United in the race for the title and in the TV pay scale

Lakini hata hivyo inaonekana kuwa ujio wa meneja mpya Jose Mourinho utawaongezea nafasi ya kuchaguliwa na Sky pamoja na BT Sport katika kampeni ya msimu wa 2013-14.

Kuingiwa kwa mkataba mpya wa TV mwezi August kutaingiza pesa zaidi ambapo vilabu kama Norwich, Southampton, Stoke City, West Brom na Fulham, ambavyo vimeonekana kwa michezo chini ya 10 ya moja kwa moja vinategemea kuingiza kiasi cha pauni milioni £60.8 kiasi ambacho walichopata  Manchester United kwa msimu uliokwisha. 

Next term's champions will be receiving around £100m from TV appearances, merit payments that depend on where each club finishes in the league and facility fees each time a club’s matches are on TV in the UK.
All international broadcast revenue is split equally amongst the 20 clubs.
Money worries: Relegated QPR were paid the smallest share of the money from television
QPR walioshuka daraja wamekuwa wa mwisho kupata malipo ya maonyesho ya moja kwa moja ya michezo yao kwa njia ya luninga.

Cash machine: Premier League TV money for the 2012-13 season

YANGA, SIMBA NA FALCON WAPANGWA MAKUNDI TOFAUTI CECAFA. LIPI KUNDI LA KIFO TOA MAONI.

GROUP C; Yanga (Tanzania), Express FC (Uganda), Vitalo (Burundi) & AS Port (Djibouti).
GROUP A; Merriekh El Fasher (Sudan), Simba (TZ), Al Mann (Somalia) & APR (Rwanda).
Na 
GROUP B; Hilal Kadougli (Sudan), Ahli Shandi (Sudan), Al Nasr (S.Sudan), Tusker (Kenya) & Super Falcon (Zanzibar)

KOCHA WA ZAMANI WA YANGA AENDELEA KUPATA ULAJI AFRIKA MASHARIKI NA KATI.


Uganda imemteua  Sredojevic 'Micho' Milutin kuwa kocha wa timu ya taifa.

Kocha huyo mwenye umri wa miaka  43 anakwenda kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Bobby Williamson ambaye aliondolewa kazini mwezi April ambapo Micho amesaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’.

Micho, ambaye alifukuzwa kazi nchini Rwanda mwezi uliopita amesema amefurahishwa na kurejea nchini humo ambako ndiko alikoaanzia kufundisha soka barani Afrika.
Amenukuliwa akisema.

"Ndoto yangu ilianzia 2001 nchini Uganda nilipokuwa na SC Villa ambapo niliitumiaka kwa miaka mitatu pale. Kwa miaka tisa iliyopita nilikuwa nikifundisha soka nchini Ethiopia, Sudan, South Africa, Tanzania na Rwanda. Sasa nimerejea katika nyumba yangu ya soka.

"Nimefurahia na nitafanya kila niwezalo kufikia malengo ya kuboresha timu.

Rais wa chama cha soka nchini Uganda , Lawrence Mulindwa, amesema jumla ya watu 37 waliomba kazi hiyo na kwamba wanamuhakikishia  Micho kwamba watampa ushirikiano.

Wasaidizi wa zamani wa Cranes Sam Timbe na Kefa Kisala pia wametajwa kumsaidia Micho's assistant coaches, huku Fred Kajoba akisalia katika nafasi ya kocha wa makipa.

Sredojevic alianza kuifundisha Rwanda mwezi November 2011, alipochukua nafasi ya Sellas Tetteh wa Ghana.
Mafanikio makubwa akiwa na Amavubi ni pale alipomaliza katika nafasi ya pili katika michuano ya Cecafa Senior Challenge mwaka 2011.

HATIMAYE AMEZALIWA ROONEY JUNIOR MWINGINE ANAITWA KLAY, WAYNE ROONEY AFURAHIA BAADA YA MTOTO WAKE WA PILI KUZALIWA

Happy family: Rooney tweeted this picture of himself, Coleen, Kai and Klay
Happy family: Rooney tweeted this picture of himself, Coleen, Kai and Klay
Wayne Rooney amesema kuwa amefurahia sana mapema asubuhi ya leo kuzaliwa mtoto wake wa pili Klay.
Mkewe Coleen alikimbizwa hospitali usiku mwingi wa kuamkia asubuhi ya kuamkia Jumanne.

Rooney kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, alivunja habari hiyo hewani kwa wanaomfuata watu zaidi ya milioni sita akiandika
'mtoto wetu mzuri wa kiume Klay Anthony Rooney amezaliwa saa 8:11 usiku, akiwa na uzito wa 7Ib 11.1/2 oz. Wote Klay na Coleen wako poa.......tunafuraha sana!!'

Roo beauty: Wayne Rooney arrives with son Kai on Tuesday to see his newborn child
Wayne Rooney akiwasili hospitali na mtoto wake Kai kumuona mtoto mpya.

Roo beauty: Wayne Rooney arrives with son Kai on Tuesday to see his newborn child
All smiles: Coleen posted this picture on Twitter with the words: 'Thanks everyone for the lovely messages'
Coleen ametupia picha hii katika ukurasa wa Twitter na maneno yafuatayo 'Thanks everyone for the lovely messages'

Hands on: Wayne and Coleen Rooney leave the hospital after the birth of their second son
Hands on: Wayne and Coleen Rooney leave the hospital after the birth of their second son

Wayne na Coleen Rooney wakiondoka hospitali baada ya kuruhusiwa kuondoka kufuatia kuzaliwa kwa mtoto wao wa pili Klay.

It's a boy: Coleen's mum and Kai head into the hospital
Mama mkwe wake na Rooney akiwa na mjukuu wake Kai wakielekea hospitali.

We are family: Wayne and Coleen Rooney, who already have three-year-old Kai, announced the arrival of their second son Klay in the early hours on Tuesday morning
Wayne na Coleen Rooney, wakati akiwa mjamzito wakiwa na mtoto wao mwenye umri wa miaka mitatu.
Making it a double: Wayne announced the good news on his Twitter page in the early hours of Tuesday morning
Making it a double: Wayne announced the good news on his Twitter page in the early hours of Tuesday morning
Happy days: After going into labour late on Saturday night, Coleen was delighted to announce the arrival of her second son

14 RCL KUUMANA RAUNDI YA PILI WIKIENDI

Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) kuwania nafasi tatu za kucheza Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu ujao inaingia raundi ya pili wikiendi hii kwa kukutanisha timu 14 zilizofanikiwa kusonga mbele.

Timu zitakazocheza raundi hiyo kwa mtindo wa nyumbani na ugenini ni Abajalo ya Dar es Salaam itakayokuwa mwenyeji Kariakoo ya Lindi katika mechi itakayochezwa Jumamosi (Mei 25 mwaka huu) Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume.

Siku hiyo hiyo Uwanja wa Azam ulioko Chamazi utatumika kwa mechi kati ya Friends Rangers ya Dar es Salaam na African Sports ya Tanga wakati Jumapili (Mei 26 mwaka huu) kutakuwa na mechi kati ya Machava FC ya Kilimanjaro na Mpwapwa Stars ya Dodoma itakayochezwa Uwanja wa Ushirika mjini Moshi.

Stand United ya Shinyanga itakuwa mgeni wa Magic Pressure ya Singida katika mechi itakayochezwa Jumapili (Mei 26 mwaka huu) Uwanja wa Namfua mjini Singida wakati Polisi Jamii ya Mara na Biharamulo FC ya Kagera zitaumana siku hiyo kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume mjini Musoma.

Mjini Kigoma kutakuwa na mechi kati ya wenyeji Saigon FC na Katavi Warriors ya Katavi. Nayo Kimondo SC ya Mbeya itakuwa mgeni wa Njombe Mji ya Njombe katika mechi itakayochezwa Jumapili kwenye Uwanja wa Sabasaba.

Mechi za marudiano zitachezwa kati ya Juni 1 na 2 mwaka huu wakati timu zitakazofuzu kucheza raundi ya tatu zitacheza mechi za kwanza kati ya Juni 8 na 9 mwaka huu wakati mechi za marudiano zitakuwa kati ya Juni 15 na 16 mwaka huu.

LIUNDA KUTATHMINI WAAMUZI MECHI YA FIFA
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limemteua Leslie Liunda wa Tanzania kuwa mtathmini wa waamuzi (referee assessor) katika mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia.

Mechi hiyo ya Kundi B, Kanda ya Afrika kati ya Cape Verde na Equatorial Guinea itafanyika Juni 8 mwaka huu saa 10.30 jioni kwenye Uwanja wa Verzea mjini Praia.

Waamuzi wa mechi hiyo ambao watatoka Angola ni Martins De Carvalho Helder, Dos Santos Jerson Emiliano, Da Silva Lemos Julio na Muachihuissa Caxala Antonio. Kamishna wa mechi hiyo atakuwa Diarra Massa Momoye wa Mauritania.