|
,Mwanafunzi wa shule ya sekondari
Wenda, Gaudence Chrispine akimtoka mwanafunzi wa shule ya seokondari Iyunga
zote za jijini Mbeya, wakati wa mashindano ya kutafuta timu ya mpira wa
kikapu ya Mkoa wa Mbeya, mashindano yalifanyika jana katika viwanja vya Youth
Center wa Jjjini Mbeya, ambapo mashIndano hao yalidhaminiwa na kampuni ya Coca
Cola kupitia kinywaji chake cha Sprite.
|
No comments:
Post a Comment