Wasanii mbalimbali wakisalimiana na Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam, katikati
ni mzee King Kikii, mama Shakira Said, Juma Ubao ambaye ni mwenyekiti wa chama
cha muziki wa dansi Tanzania CHAMUDATA, Bi Carola Kinasha, Mwana FA msanini wa
muziki wa kizazi kipya, Hamza Kalala 'Komandoo', Waziri Ally na Ruge Mutahaba.Picha naMichuzi.
|
No comments:
Post a Comment