Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. Margreth Natongo Zziwa akifungua
rasmi mashindano ya mpira wa miguu na mikono kwa wabunge wa mabunge ya
nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mashindano haya ambayo hafanyika
kila mwaka huyakutanisha mabunge ya Tanzania, Kenya, Uganda, Bunrundi,
Rwanda pamoja na Bunge la Afrika Mashariki. Kwa mwaka huu Bururndi
haikushiri. Mwaka huu mashindono yanafanyika katika Uwanja wa Nyayo
jijini Nairobi, Kenya. Spika Natongo Zziwa amewashukuru Maspika wote
ambao wameziwezesha nchi zao kushiriki mashindano haya.
 |
No comments:
Post a Comment