Pages - Menu

Thursday, July 10, 2014

Kocha mkuu wa Simba Mcroatia Zdravko Logarusic anarejea nchini leo

Kocha mkuu wa klabu ya Simba Mcroatia Zdravko Logarusic anatarajiwa kuwasili nchini leo tayari matayarisho ya kikosi chake kwa ajili ya msimu wa ligi 2014/15. Tayari kikosi hicho kimeaanza mazoezi ya kujenga mwili yaani GYM chini kocha msaidizi Selemani Matola.

No comments:

Post a Comment