KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, January 18, 2014

Clarence Seedof kuanza kibarua kesho dhidi ya Rossoneri

Mchezaji aliyetawaza mara kadha bingwa wa Champions League akiwa na AC Milan Clarence Seedorf anaanza rasmi awamu mpya ya kibarua katika klabu hiyo , mara hii akiwa kocha mkuu,  wakati kikosi hicho cha Rossoneri kikiikaribisha Verona kesho Jumapili.

No comments:

Post a Comment