Mchezaji aliyetawaza mara kadha bingwa wa Champions
League akiwa na AC Milan Clarence Seedorf anaanza rasmi awamu mpya ya kibarua
katika klabu hiyo , mara hii akiwa kocha mkuu, wakati kikosi hicho cha Rossoneri kikiikaribisha Verona kesho Jumapili.
No comments:
Post a Comment