Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers anaamini kuwa Daniel Sturridge
anaweza kuongeza kiwango chake cha soka wakati wekundu hao wanaowania
ubingwa wa premeier league msimu huu wakiwa wamewakaribisha Aston Villa hii leo
Jumamosi.
Sturridge amekuwa nje ya uwanja tangu mwishoni mwa Novemba akiuguza
kifundo cha mguu lakini aliingia uwanjani na kupachika bao na
kutayarisha lingine katika ushindi wa Liverpool wa mabao 5-3 dhidi ya
Stoke City mwishoni mwa juma lililopita.
No comments:
Post a Comment