KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, February 7, 2013

ENGLAND YAIFUNGA BRAZIL KWA MARA YA KWANZA BAADA YA MIAKA 23 KUPITA. WASHEHEREKEA VEMA MIAKA 150 YA KUZALIWA FA.

Predator: Lampard cushioned a wonderful finish past Julio Cesar from Wayne Rooney's lay-off
Ndivyo ambavyo Lampard alivyopiga mpira uliozaa goli la pili na kumpita Julio Cesar.
Tazama mpira wa Lampard uliozaa goli safi la pili.
Who said this is a friendly? Wayne Rooney roars with delight after opening the scoring at Wembley
Bao safi la Frank Lampard katika kipindi cha pili limeiwezesha England kupata ushindi dhidi ya vijana wa Samba Brazil katika mchezo wa kirafiki uliochezwa katika dimba la Wembley.
Ushindi huo umekuwa ni mwendelezo wa sherehe za maadhimisho ya miaka 150 kuanzishwa kwa chama cha soka cha England FA ambapo England pia rekodi ya kuifunga Brazil ambao ni mabingwa mara tano wa kombe la dunia.
Wayne Rooney ndiye aliyekuwa wa kwanza kufunga bao uongozi kipindi cha kwanza muda mfupi baada ya penati ya  Ronaldinho kuokolewa kistadi na mlinda mlango Joe Hart. Fred aliyeingia kipindi cha pili alifanikiwa kuisawazishia Brazil bao lakini Frank Lampard aliyeingia kipindi cha pili kuandika bao la pili kwa shuti ambalo liligonga mwamba wa kushoto wa mlinda mlango Julio Cesar na kutinga wavuni.
Hata hivyo kikosi cha kilicho katika nafasi ya 6 katika viwango vya ubora vya FIFA kilionekana kikitawala mchezo kwa sehemu kubwa ukilinganisha na Brazil ambao katika viwango vya ubora vya FIFA wako katika nafasi ya 18 huku kiungo Jack Wilshere akitawala vema sehemu ya kiungo.
Uwanja wa Wembley ulikuwa ukisubiri kwa hamu ujio wa nyota wawili wa Brazil Neymar na Ronaldinho, lakini wote walionekana kutokuwa vizuri licha ya kuwa ndio kioo cha Brazil kabla ya mchezoTouch of class: Frank Lampard wheels away after his brilliant second-half strike against Brazil
Frank Lampard akikimbia kwa furaha baada ya kufunga goli la pili dhidi ya Brazil.
Predator: Lampard cushioned a wonderful finish past Julio Cesar from Wayne Rooney's lay-off
Ndivyo ambavyo Lampard alivyopiga mpira uliozaa goli la pili na kumpita Julio Cesar.
Tazama mpira wa Lampard uliozaa goli safi la pili.
Who said this is a friendly? Wayne Rooney roars with delight after opening the scoring at Wembley
Wayne Rooney akiruka juu akishangilia goli la kwanza dhidi ya Brazil uwanja wa Wembley.
Super stop: Julio Cesar denies Theo Walcott from close range after Jack Wilshere's brilliant through ball
Julio Cesar akizuia mpira wa Theo Walcott akiwa karibu na goli baada ya kupokea pasi ya Jack Wilshere.
Punished: But Rooney pounced to slot the ball into the unguarded netHotshot: Fred blasts in the equaliser early in the second half after Gary Cahill's mistake
Fred wa Brazil akifunga goli la kusawazisha kipindi cha pili kufuatia makosa ya Gary Cahill.
That's more like it: David Luiz leads the celebrations after Fred (second left) pegged England back
David Luiz akiongoza furaha ya goli la kusawazisha lililofungwa na Fred.
Another top stop: Julio Cesar tips a header by England's Gary Cahill (floored) over his crossbar...Ronaldinho shoots from the penalty spot...
...Ronaldinho kipiga penati ambayo haikuzaa goli..
... and then follows up with an ever better save to deny Ronaldinho on the goalline from the rebound...
Ronaldinho akitahidi kupiga mpira kuelekea katika lango la England lakini Joe Hart alikuwa imara.

The next superstar? Neymar controls the ball under pressure from Tom Cleverley
Neymar akitengeneza mpira huku akikabiliwa na upinzani kutoka kwa Tom Cleverley.
Captain marvel: Peter Shilton presented Steven Gerrard with a commemorative golden cap to mark his 100th England appearance, against Sweden last November
Peter Shilton akimkabidhi nahodha wa England Steven Gerrard kofia ya kumbukumbu ya dhahabu ikiwa ni ishara ya heshima kwake baada ya kutimiza michezo 100 ya kuitumikia England mwezi Novemba katika mchezo dhidi ya Sweden mwaka jana.
National hero: The statue of Bobby Moore outside Wembley. England's World Cup-winning captain died 20 years ago this week
Sanamu ya nyota na nahodha wa zamani wa England Bobby Moore iliyowekwa nje ya uwanja wa England ilikuwa ni kumbukumbu yake ya miaka 20 tangu kufariki dunia wiki hii.
Samba! Dancers entertain the crowds prior to the match with some South American flair
Akina dada wakicheza Samba kuwafurahisha watazamaji zaidi ya elfu 80 waliohudhuria mchezo huo ikiwa ni ngoma maarufu Marekani ya kusini.Down Wembley Way: Brazil fans enjoy their day under the arch at the home of football
Mshabiki wa Brazil.Beat of the drum: Dancers and musicians give Wembley a taste of Brazil
Wacheza shoo wakionyesha shoo ya ngoma ya kibrazil ndani ya uwanja wa Wembley.
One of the greats: Ronaldinho is handed a shirt showing the number 100, as he marks his 100th appearance for Brazil
Ronaldinho akipewa jezi ikiwa ni ishara ya utumishi wake wa michezo 100 katika kikosi cha Brazil jezi hiyo imechorwa namba 100.The one that got away: Luiz Felipe Scolari led Brazil against the team he turned down back in 2006
Luiz Felipe Scolari ameiongoza Brazil dhidi ya England akirejea baada ya kupigwa chini mwaka 2006.

No comments:

Post a Comment