KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, February 13, 2013

LIGI KUU YA SOKA TANZANIA BARA, YANGA YALIPA MAGOLI MANNE YA AZAM.COAST UNION YAPUNGUZWA KASI NA KAGERA.

Mshambuliaji wa Yanga Jerson Tegete akimtoka mlinda mlango Afrikan Lyon katika mchezo ambao umefanyika hii leo uwanja wa taifa kati ya Yanga na Afrikan Lyon ambapo Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 huku mabao ya Yanga yakifungwa na Jerson Tegete, Didier Kavumbagu na Nizar Khalfani.
MATOKEO MENGINENI KAMA IFUATAVYO

KAGERA SUGAR 1 AFRIKA VS 0 COAST UNION
TOTO AFRIKA 2 VS 2 POLISI MOROGORO
MGAMBO JKT  VS JKT OLJORO
MTIBWA SUGAR 0 VS 0 RUVU SHOOTING

No comments:

Post a Comment