KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, July 26, 2013

LICHA YA BARECELONA KUSEMA NO JUU YA FABREGAS KUONDOKA NOU CAMP ARSENAL NAO WAANZA PILIKA ZA KUNASA SAINI YAKE.


Uncertain future: Cesc Fabregas could leave Barcelona for Manchester United, but Arsenal may step in
 Arsenal ina matumaini kuwa Fabregas ataachana na United na kuelekea kwa mara nyingine tena na wao watalipa kiasi cha pauni milioni £25.

Arsenal iko tayari kupambana na Manchester United kwa ajili ya kunasa saini ya skipper Cesc Fabregas kiangazi hii.

Kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania ndiye windo la kwanza la meneja mpya wa United David Moyes kaangazi hii.

Taarifa za kidaku zainasema kuwa hii leo mchezaji huyo aliwaambia baadhi ya marafiki zake kuwa anataka kuondoka La Liga na kuelekea Old Trafford.
Cesc Fabregas stats

No comments:

Post a Comment