KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, October 25, 2013

Thiago Alcantara aanza mazoezi mepesi.

Kiungo wa Bayern Munich Thiago Alcantara amerejea katika mazoezi mepesi baada ya kusumbuliwa na kifundo.

Kiungo huyo wa kimataifa wa Hispania mwenye umri wa miaka 22 alipatwa na maumivu katika mchezo wake wa pili wa mabingwa Ulaya baada ya kuhamia katika klabu hiyo akitokea Barcelona kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 21.6.

Manchester United ilikuwa ikihusishwa na kumtaka Thiago lakini aliamua kujiunga na bosi wake wa zamani wa Barca Pep Guardiola.

Bado haijafahamika ni lini atarejea uwanjani.

No comments:

Post a Comment