KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, June 19, 2013

SAKATA BAYA KABISA KWA RIBERY NA BENZEMA MAHAKAMANI KWA KUBAKA..............SOMA

On trial: Karim Benzema and Franck Ribery are charged with on charges of soliciting the services of an underage prostitute
Karim Benzema na Franck Ribery matatizoni kwa kubaka

Wachezaji wawili wa kandanda wa timu ya taifa ya Ufaransa Franck Ribery na Karim Benzema wameshtakiwa mahakamani hii leo mjini Paris kwa kutoa malipo ili kushiriki ngono na kahaba mwenye umri mdogo

Mshambuliaji wa Bayern Munich Ribery na mwenzake wa Real Madrid Karim Benzema wanakabiliwa na adhabu ya hadi miaka mitatu gerezani na faini ya juu ya kiasi cha euro 45,000 kama watapatikana na hatia ya uhalifu huo.

Wachezaji hao wote wawili wanakanusha mashtaka, na msichana aliyehusika, Zahia Dehar, ametoa ushahidi kuwa wanasoka hao wawili hawakujua kuwa alikuwa na umri wa chini ya miaka 18 wakati walipofanya naye kitendo cha ngono mwaka wa 2008 na 2009.
Ijapokuwa umri unaoruhusiwa kisheria nchini Ufaransa wa mtu kuwa na ufahamu ni miaka 15, kumlipa yeyote mwenye umri wa chini ya miaka 18, ili kushiriki naye ngono ni uhalifu. Dehar kwa sasa na umri wa miaka 21. Ribery mwenye umri wa miaka 30, alikiri kufanya mapenzi na Dehar, lakini anasisitiza kuwa hakujua kuwa alikuwa na umri mdogo. Benzema naye anakanusha kabisa kufanya kitendo hicho.
Ribery na Benzema hawakustahili kufika mahakamani, huku wakili wa Ribery akisema kuwa kesi hiyo haikuwa na “mwathriwa”, ikizingatiwa kuwa Dehar, aliondoa mahakamani malalamishi yake na “bila mashitaka yoyote”.
Waendesha mashtaka wa serikali waliitaka mahakama hiyo ya Paris itupilie mbali kesi hiyo, wakihoji kuwa wanasoka hao wawili hawakujua kuhusu umri wa Zahia wakati wa uchunguzi wa mwanzo. Jaji hata hivyo aliamua kuwacha kesi hiyo wazi, akisema walistahili kuwa na uwezo wa kutambua kuwa msichana huyo alikuwa na umri mdogo. Kesi hiyo inastahili kudumu kwa takriban wiki moja, na hukumu yoyote huenda ikachukua muda mrefu.

Court appearance: Alberto Carlo Brusa, lawyer of Bayern Munich star Franck Ribery, arrives at the courthouse in Paris
Alberto Carlo Brusa, mwanasheria wa Bayern Munich akiwasili mahakamamni mjini Paris.

Jet setter: Zahia Dehar worked as a prostitute when she was underage
Zahia Dehar alifanya kazi ya ufuska wakati akiwa umri mdogo.

Zahia Dehar
Zahia Dehar

Zahia Dehar pichani juu amedai hakumuambia mteja wake kuwa alikuwa na umri mdogo. 
 
Denial: Ribery says he did not know Zahia Dehar was a prostitute, or that she was underage when she was flown to Munich for his birthday
It wasn't me: Benzema denies any liaison with Zahia

No comments:

Post a Comment