
Ben Arfa mwenye umri wa miaka 23 alidondoka baada ya kukumbana na kigingi cha Nigel De Jong dakika nne tu ya mchezo kabla ya kuchukuliwa na kukimbizwa hospitali akiwa kwenye machela.
Kwa mjibu wa mtandao wa klabu umethibitisha kuwa amekutwa na makeraha na anataraji kufanyiwa vipimo jumatatu
KOCHA ROY HODSON ANG'AKA JUU YA MFUMO WAKE USIO NA TIJA LIVERPOOL

Hodgson 'insulted' by questioning
Roy Hodgson amejipanga kutafuta namna ya kujitetea katika umeneja wake ambapo tayari Liverpool ikiwa karti kuti kavu katika msimamo wa ligi kuu ya uingereza.
Roy Hodgson anaonekana kuchukizwa na maswali yanayo husiana na mfumo wale wa kiuchezaji
Hodgson amekuwa katika wakati mgumu Anfield baada ya matokeo mbaya na uchezaji mbovu wa timu hiyo katika michezo ya kigi na hata michezo ya Carling Cup ambapo walikubali kuaaga mbele michuano hiyo toka kwa timu ndogo ya League Two ya Northampton
Hata hivyo Hodgson aliye wahi kufanya vizuri katika nchi za Sweden na Denmark na hata kufika fainali mara mbili za viabu Europa bado ana amini kuwa hakuna linalo stahili kuzunguzwa juu yake kwa sasa licha ya matokeo hayo mabovu.
Alipoulizwa kuhusu mfumo wake wa kiuchezaji kushindwa anasema
"haamini hilo na kumuuliza mwandishi aliye uliza swali hilo anaa maanisha nini juu ya swali lake na kumuhoji katika kipindi cha miaka 35 amepitia vilabu vingapi na hilo lionekane leo?
"What do you mean do my methods translate? They have translated from Halmstads to Malmo to Orebo to Neuchatel Xamax to the Swiss national team, so I find the question insulting.
"kuzungumzia hilo, kwasababu nimekuwa nikihama kutoka klabu moja kwenda klabu nyingine ni kwasababu ya mfumo huo na nimekuwa nikifanya hivyo kwa miaka 35 wewe unasemaje habari ya mfumo nimekuwa ni kocha mwenye heshima.
"Experience is an important quality for any manager.
Roy Hodgson amejipanga kutafuta namna ya kujitetea katika umeneja wake ambapo tayari Liverpool ikiwa karti kuti kavu katika msimamo wa ligi kuu ya uingereza.
Roy Hodgson anaonekana kuchukizwa na maswali yanayo husiana na mfumo wale wa kiuchezaji
Hodgson amekuwa katika wakati mgumu Anfield baada ya matokeo mbaya na uchezaji mbovu wa timu hiyo katika michezo ya kigi na hata michezo ya Carling Cup ambapo walikubali kuaaga mbele michuano hiyo toka kwa timu ndogo ya League Two ya Northampton
Hata hivyo Hodgson aliye wahi kufanya vizuri katika nchi za Sweden na Denmark na hata kufika fainali mara mbili za viabu Europa bado ana amini kuwa hakuna linalo stahili kuzunguzwa juu yake kwa sasa licha ya matokeo hayo mabovu.
Alipoulizwa kuhusu mfumo wake wa kiuchezaji kushindwa anasema
"haamini hilo na kumuuliza mwandishi aliye uliza swali hilo anaa maanisha nini juu ya swali lake na kumuhoji katika kipindi cha miaka 35 amepitia vilabu vingapi na hilo lionekane leo?
"What do you mean do my methods translate? They have translated from Halmstads to Malmo to Orebo to Neuchatel Xamax to the Swiss national team, so I find the question insulting.
"kuzungumzia hilo, kwasababu nimekuwa nikihama kutoka klabu moja kwenda klabu nyingine ni kwasababu ya mfumo huo na nimekuwa nikifanya hivyo kwa miaka 35 wewe unasemaje habari ya mfumo nimekuwa ni kocha mwenye heshima.
"Experience is an important quality for any manager.

Didier Drogba ambaye amekuwa mwiba mara zote kwa Arsenal timu hizo zinzpo kutana katika miaka ya hivi karibuni ndiye aliyekuwa wa kwanza kufungua bao la uongozi karibu na kuelekea mapimziko katika kipindi ambacho kilikuwa ni kigumu na kuupeleka mpira nyuma ya Lukasz Fabianski dakika ya 39 ya mchezo.
Bao la pili la washindi hao liliwekwa kimiani na mlinzi Alex kunako dakika ya 85 baada ya kupiga mpira wa free-kick toka upande wa kona .

Liverpool walianza kupumua mapema katika kipindi cha pili kwa bao la Kyrgiakos bada ya kupokea mpira free-kick wa Steven Gerrard hata hivyo vijana wa Ian Holloway walijikuta katika furaha baada ya kushuhudia dakika tisini zikimalizika kwa ushindi huo wa mabao hayo 2-1 ugenini Anfiled.

No comments:
Post a Comment