KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, May 14, 2013

CHELSEA NA BENFICA WAKUTANA AMSTERDAM KABLA YA FAINALI HIYO KESHO KATIKA DIMBA LA AMSTERDAM ARENA DEMBA BA HATAKUWEPO SOMA........................

Relaxed: Oscar and his Chelsea team-mates look laid back as they make their way to the airport from the Cobham training base
Oscar akiwa na wachezaji wenzake wa Chelsea wakielekea uwanja wa ndege kutokea katika uwanaja wao mazoezi wa  Cobham.
 Chelsea hii leo imesafiri kuelekea Amsterdam kwa ajili ya mchezo wa fainali ya michuano ya Europa ikiwa ni kampeni yao ya pili kusaka taji la vilabu barani Ulaya baada ya miaka mingi.
Chelsea watakuwa wakipambana na Benfica katika dimba la Amsterdam ArenA hapo kesho katika usiku wa fainali Europa na hii leo asubuhi meneja wa muda kla kikosi hicho Rafa Benitez aliambatana na wachezaji wake kutoka katika uwanja wa mazoezi wa Cobham na kuelekea uwanja wa ndege.

Benfica watakuwa wakiingia katika mchezo huo wakiwa na kumbukumbu ya kichapo kutoka kwa wapinzani wao wakubwa katika kusaka taji la ligi kuu ya Ureno Porto mchezo uliopigwa mwisho wa wiki iliyopita kikiwa ni ichapo cha kwanza katika msimu wa ligi ya nchi hiyo. 

Nahodha wa Chelsea John Terry, mshambuliani Eden Hazard na kiungo John Obi Mikel pia wameelekea Amsterdam licha ya wasiwasi juu ya afya zao.
Away we go: The Chelsea team boarded the coach as they started their journey to Amsterdam to take on Benfica in the Europa League final
Kikosi cha Chelsea kikipanda basi na kuanza safari ya kuelekea Amsterdam kuivaa Benfica katika fainali ya Europa hapo kesho.

Terry anakabiliwa na matatizo ya kifundo cha mguu ilhali Hazard anasumbuliwa na msuli maumivu aliyoyapata katika mchezo wa jumamosi iliyopita wa ligi kuu ya England dhidi ya  Aston Villa.

Terry hakuwepo katika fainali ya msimu uliopita ya ligi ya mabingwa mjini Munich kutokana na kusimama kwa adhabu kadi na hivyo maumivu aliyonayo sasa yana maanisha kuwa huenda akakutana na kuikosa kwa mara nyingine tena fainali hiyo muhimu barani Ulaya.

Nahodha huyo wa zamani wa England mwenye umri wa miaka 32 na kuiweka Chelsea katika wakati mgumu wa kusaka mbadala wake baina ya David Luiz, Gary Cahill na Branislav Ivanovic.
Packed up: Juan Mata boarded the coach with a coffee after putting his bags in the hold
Juan Mata akipanda basi. 

Frank Lampard ambaye alitengeneza rekodi ya mfungaji wa kihistoria wa Chelsea katika mchezo uliofanyika Villa Park, huenda akapangwa katika kiungo kuziba nafasi ya Obi Mikael akisaidiana na Luiz na Ramires katika kusukuma mashambulizi sambamba na Juan Mata na Oscar.

Ryan Bertrand atakuwa akichukua nafasi ya Ashley Cole katika sehemu ya ulinzi wa kushoto kufuatia kuonyesha kandanda safi katika mchezo fainali mjini Munich miezi 12 iliyopita.

Kiungo Oriol Romeu, ambaye hakuwepo dimbani kufuatia maumivu ya mguu pia amesafiri pamoja na mduchi mwenye umri mdogo wa miaka 18 Nathan Ake.

Yupo pia mshambuliaji Demba Ba licha ya kwamba hatakuwepo kikosini kwani alikuwa akitumiwa na Newcastle mapema katika michuano hii hivyo amepoteza uhalali.
Emotional: Chelsea defender David Luiz will return to the club he left for Stamford Bridge
Mlinzi David Luiz

Kukosa uhalali kwa Ba ni wazi kwamba Fernando Torres ataanzishwa kikosini sehemu ya ushambuliaji licha ya kwamba mshambuliaji huyo amekuwa si lolote si chochote katika msimu huu licha ingawa alisajiliwa na mapesa mengi .

Chelsea imeondoka na walinda mlango wanne Petr Cech, Ross Turnbull, Hilario na Jamal Blackman na mlinzi wa kireno Paulo Ferreira licha ya kwamba hatachezeshwa katika mchezo huo dhidi ya ndugu zake wa Ureno.
Here we go: Eden Hazard travelled with the squad despite being an injury doubt
Eden Hazard amesafiri licha ya kuwa mgonjwa.
 
Star man: Mata will be hoping to bring home another European trophy from the continent
Mata
Old guard: John Terry and club record goalscorer Frank Lampard (right) boarded the plane to Amsterdam
John Terry na Frank Lampard.

Up for the big match, Branislav? Defender Ivanovic appears to be taking a nap before the plane touches down in Holland
Flying the flag: Oscar climbed the steps with some Brazil flag-inspired headphones
Oscar

Leading the way: Rafa Benitez walked down the steps after the team's plane touched down in Amsterdam
Rafa Benitez


Eyes on the prize: Benitez is hoping to deliver the Chelsea a trophy before he departs Stamford Bridge this summer

All aboard! Lampard and Petr Cech (right) boarded another coach after the plane reached its destination
Lampard na Petr Cech


In the mood: Benfica fans were already looking to start the party in the Dam Square ahead of tomorrow's blockbuster
Mshabikiwa kwa Benfica wakiwa wamejianda kwa kushangilia huko Dam Square.

Final destination: Rafa Benitez's Chelsea will take on Benfica at the Amsterdam ArenA tomorrow night
Amsterdam Arena
Meanwhile... Benfica manager Jorge Jesus climbs off the plane in Holland ahead of the match
Meneja wa Benfica Jorge Jesus akishuka uwanja wa ndege wa  Holland tayari kwa mchezo hapo kesho.

Meanwhile... Benfica manager Jorge Jesus climbs off the plane in Holland ahead of the match
.
Here come the boys: Benfica defender Luisao disembarked after his manager
Mlinzi wa Benfica Luisao.

Oscar Cardozo (R) and Lorenzo Melgarejo
Maxi Pereira
Oscar Cardozo na Lorenzo Melgarejo wanamatumaini ya kuizamisha Chelsea. 

In the mix: Ashley Cole (right) and Gary Cahill (centre) arrive at the team's hotel
Ashley Cole na Gary Cahill wakiwasili hotelini Asterdam.

No comments:

Post a Comment