KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, July 19, 2013

Baada ya maradhi kuendelea kumsumbua Tito Vilanova sasa basi Barcelona, Mkongwe wa Manchester City Bert Trautmann afariki dunia akiwa na umri wa miaka 89, Watford yasajili wachezaji saba kutoka Udinese.


Mkongwe wa Manchester City Bert Trautmann afariki dunia akiwa na umri wa miaka 89
 Bert Trautmann, mlind mlando wa kijerumani ambaye alishinda taji la FA Cup akiwa na Manchester City 1956, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89.
Trautmann anakumbyukwa sana kwa kuchezwa fainali kwa dakika 17 katika fainali baina ya City na Birmingham City na baadaye kuvunjika shingo.
Alicheza zaidi ya michezo ya 500 kuanzia mwaka 1949-64,akiwasili England kama mfungwa wa vita.
Bert Trautmann factfile
Born: 22 October 1923 in Bremen, Germany
1949: Joins Man City from non-league St Helens Town
1956: Wins FA Cup with City, but breaks neck 17 minutes from end of final versus Birmingham City
1964: Ends playing career after 545 appearances for City
2004: Made OBE for Anglo-German reconciliation work
Trautmann, ambaye alisumbuliwa na matatizo ya moyo mwaka karibu mara mbili amefariki dunia karibu na mji wa Valencia nchini Hispania hii Ijumaa.

Tito Vilanova sasa basi Barcelona
 Barcelona imeitisha mkutano na waandishi wa habari huku kukiwa na taarifa kuwa kocha wake Tito Vilanova anaelekea kujiuzulu.
Vilanova alikutwa na kansa mwaka 2011 na kupatiwa matibabu kabla ya ugonjwa huo kujitokeza tena mwaka uliopita.
Vilanova mwenye umri wa miaka 44 alifanyiwa upasuaji desemba 2012 na kutumikia wiki 10 jijini New York ambapo alifanyiwa tiba ya chemotherapy na radiotherapy kabla ya kurejea kazini mwezi March kukitumikia kikisi chake ambacho kilitwa taji la ligi ya Hispania.

Mkutano huo na waandishi wa habari umeitishwa huko Nou Camp na utafanyika usiku huu.
Raia wa klabu hiyo Sandro Rosell na mkutugenzi wa soka Andoni Zubizarreta watazungumza na waandishi wa habari.
Vilanova alichukua nafasi ya Pep Guardiola kama meneja June 2012, ambako kabla ya uteuzi wake alikuwa ni msaidizi wa Pep.

Watford yasajili wachezaji saba kutoka Udinese
 Watford imethibtisha kuwasajili wachezaji saba kutoka katika klabu ya Udenise ambayo inaitwa sister club, akiwemo nyota wa kimataifa wa Italia Diego Fabbrini.
Mshambuliaji Fabbrini mwenye umri wa miaka  22 amesajili mpaka  2017, wakati mlinzi Gabriele Angella amejiunga kwa mkataba wa miaka mitano.
Mwaka uliopita viungo Almen Abdi na Cristian Battocchio walirejea kwa mkataba wa miaka mitatu kila mmoja.

 Christian Benteke aongeza mkataba na Aston Villa
 Mshambuliaji wa Aston Villa Christian Benteke ameondoa ombi lake la kutaka kuihama klabu yake na amesaini tena mkataba utakao muweka katika klabu hiyo mpaka 2017.
    Maoni Click
Well thank goodness for that. Villa fans can be excited for the first time in a while. I've a feeling this season is going to be amazing in its unpredictability. I'm man utd and I say bring it on!
2. I don't see any point in being negative. People were angry when he wanted to leave, and now he's staying. So hooray for Villa and Lambert.
3. He's done the right thing, a lot of players could learn by following the same route. Yes he'll be on more money but he's earned it. One more good season, the bigger clubs will come calling and he'll move on. At least Villa should get a good price for him at that point.


Equatorial Guinea yaadhibiwa na fifa
 Fifa imeidhibu Equatorial Guinea kwa kumtumia mchezaji ambaye hakuwa halali kutumika katika mchezo wa kuwania kufuzu kombe  la dunia 2014 dhidi ya Cape Verde.
Hiyo ina maana kuwa Cape Verde imezawadiwa ushindi wa mabao 3-0 katika michezo yote miwili matokeo ambayo yatawaweka katika nafasi ya kuwa na alama mbili pungufu ya vinara wa kundi B Tunisia.
Mchezo wa mwisho baina ya Tunisia na Cape Verde ndio utakao amua nani wa kusonga mbele katika hatua ya mwisho ya hatua ya play-offs.
Kundi B baada ya alama mpya za mezani    Tunisia 11 Pts
    Cape Verde 9 Pts
    Sierra Leone 5 Pts
    Eq Guinea 2 Pts.


FIFA YATANGAZA VIINGILIO VYA MICHEZO YA KOMBE  LA DUNIA.
Bei ya tiketi kwa mashabiki wa kutoka nje ya nchi ya Brazil watakao hudhuria michezo ya kombe la dunia nchini Brazil zitaanza kuuzwa kwa gharama ya dolari $90 (£59, 69 euros) kwa michezo ya hatua ya makundi.
Bodi ya utawala ya FIFA imetangaza kuwa tiketi ya bei rahisi kwa mashabiki wan je ya nchi mchezo wa fainali July 13 ilikuwa $440 (£288) nay a gaharama ya juu itakuwa $990 (£650).
Michuano itaanza June 12 na mchezo wa mwisho utacheza Sao Paulo.
Tiketi zitaanza kuuzwa kuanzia August 20.
Mashabiki watakuwa wakituma maombi mpaka Oktoba 10
World Cup ticket prices (overseas fans)
Matches
Category 1
Category 2
Category 3
Source: Fifa.
Opening Match
$495
$330
$220
Group Matches
$175
$135
$90
Round of 16
$220
$165
$110
Quarter Finals
$330
$220
$165
Semi Finals
$660
$440
$275
3rd / 4th Place Match
$330
$220
$165
Final
$990
$660
$440

No comments:

Post a Comment