KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, July 20, 2013

SIMBA WAFANYA MKUTANO KWA AMANI NA UTULIVU LICHA YA MVUTANO KIASI( PICHA ZOTE NA SHAFIIH BLOG)

Mwenyekiti wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage akiongea na wanachama wa klabu hiyo hii leo katika kikao cha mkutano mkuu wa klabu ya hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Police Officer's Mess Osteybay jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama wapatao mia 700 ulifanyika kwa saa moja kuanzia saa nne kamili asubuhi mpaka saa tano. Mkutano huo ulizungumzia mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja taarifa ya matumizi ya fedha ya klabu, suala la ujenzi wa uwanja wa Simba pamoja na kuzinduliwa kwa mkakati mpya wa maendeleo ya Simba.
Rage na Mzee Kinesi
Ibrahim Masoud Maestro na mwenyekiti wa kamati ya usajili Zakaria Hans Pope
Mwenyekiti aliyepita wa Simba Hassan Dalali alikuwa mmoja wa wahudhuriaji

Katibu Mkuu wa Simba Mtawala
Pamoja na mkutano huo kufanyika kwa amani lakini kulikuwepo na mabishano ya hapa na pale miongoni mwa wanachama

No comments:

Post a Comment