KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, February 19, 2013

MANCHESTER UNITED YATINGA ROBO FAINALI YA FA BAADA YA KUIFUNGA KWA TABU READING.

Near post: Javier Hernandez nodded the ball past Adam Federici to put the Reds 2-0 up
Javier Hernandez akifunga goli la pili huku mpira ukionekana kumpita Adam Federici.
Manchester United walilazimika kufanya kazi kubwa ya kuhakikisha inalinda ushindi wake katika dakika kumi za kuelekea kumaliza kwa mchezo baada ya Jobi McAnuff kuifungia goli Reading katika dakika ya 81 ya mchezo wa hatua ya mtoano wa michuano ya FA ambapo United imeshinda kwa mabao 2-1.
Baada ya kukaliwa kooni hatimaye vijana wa Sir Alex Ferguson walifanikiwa kufunga goli la kwanza kunako dakika ya 69 baada ya Nani kuukwamisha mpira wavuni kufuatia pasi ya Antonio Valencia.

Javier Hernandez alifunga goli la pili baada ya dakika tatu lakini McAnuff akaharibu utamu baadaye kwa kufunga goli kwa Reading na kufanya dakika kumi za mwisho mchezo kuwa mgumuBreached: Nani finally opened the scoring for Manchester United at Old Trafford
Nani akifunga goli la kwanza la Manchester United mchezo uliopigwa Old Trafford.
Wheeling away: Nani came off the bench for Phil Jones in the first half
Fist pump: Sir Alex Ferguson gestures to the home crowd as he makes his way out after half-time
Sir Alex Ferguson akishangilia goli mbele ya mashabikiwa wa uwanja wa nyumbani.
Chase: Danny Guthrie attempts to keep pace with Manchester United's Anderson
Danny Guthrie akijaribu kumdhibiti Anderson.
.Blow: Phil Jones was taken off in the first half through injury
Phil Jones akigumia maumivu kabla ya kutolewa kipindi cha kwanza.
Blow: Phil Jones was taken off in the first half through injury
Phil Jones akitolewa uwanja baada ya kupata majeraha.

Words of wisdom: Ferguson (left) talks to fourth official Phil Dowd as the pair leave at half-time
Ferguson (kushoto) akiongea na mwamuzi wa akiba Phil Dowd wakati wa mapumziko.

No comments:

Post a Comment