KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, March 28, 2013

DAVID HAYE AMESEMA AMECHOKA KUWASUBIRI NDUGU WAWILI WA KLITSCHKO, SASA KUCHEZA MWEZI JUNI JIJINI MANCHESTER.

Return: David Haye announced that he will fight in Manchester on June 29
David Haye atangaza kucheza pambano jijini Manchester June 29.

Bingwa wa zamani wa uzito wa juu wa WBA David Haye amesema amechoka kusubiri pambano dhidi ya mmoja kati ya  ndugu wawili wa Klitschko.
Haye mwenye umri wa miaka 32, ametangaza urejeo wake katika ngumi kwenye mkutano wake na waandishi wa habari jijini London bila ya kutaja atacheza na nani katika pambano ambalo litachezwa katika ukumbi wa Manchester Arena June 29.
Pia anatarajia kucheza pambano lingine baadaye mwishoni mwa mwaka huu dhidi ya mmoja kati ya ndugu hao wawili Vitali au Wladimir Klitschko kuwania moja ya mataji makubwa wanayoshikilia.
British former WBA heavyweight boxing champion David Haye and his trainer, Adam Booth
David Haye announces his return to the boxing ring
Amenukuliwa Haye akisema,
'Badala ya kukaa na kusubiri mwaka mwingine mmoja, nataka kurejea tena'
'Ninayo furaha kurejea tena mwaka ni mrefu kusubiri'

Kampuni binafsi ya Haye 'HAYEMAKER' itasaidia kutangaza urejeo wake na kulitangaza pambano hilo la mwezi Juni huku mwalimu wake Adam Booth akithibitisha kuwa wanafanya mazunguzo ya kumsaka mpinzani wake.
Back again: Haye will fight in Manchester, scene of his victory over Audley Harrison in 2010Kwa mara ya mwisho Haye kuoanda ulingoni ilikuwa ni mwezi Juni mwaka jana pale alipo mtwanga mwingereza mwenzake Derck Chisora pambano ambalo lilichezwa Upton Park.
Knockout: Haye was last in the ring when he stopped Dereck Chisora in the fifth round at Upton Park
Haye akimchapa Dereck Chisora kwa KO ya raundi ya tano Upton Park
Knockout: Haye was last in the ring when he stopped Dereck Chisora in the fifth round at Upton Park

No comments:

Post a Comment