KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Sunday, August 17, 2014

Thomas Vermaelen sasa anasaka makazi ya kuishi Hispania akiwa na mpenzi wake Polly Parson baada ya kutua Barcelona

Thomas Vermaelen, ambaye alisaini kwa Barcelona kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni £15 mapema kiangazi licha ya matamanio ya Louis van Gaal ndani ya Old Trafford, ameonekana akitafuta sehemu ya kuishi akiwa na mpenzi wake mwingereza ambaye pia ni mtangazaji wa Televisheni Polly Parsons.

Alipowasili Nou Camp, mlinzi huyo raia wa Belgium alinukuliwa akisema 
'Hii ni ni moja kati ya vilabu vikubwa dunia, hivyo haikuwa ngumu kwake kufanya maamuzi, kila mmoja anataka kucheza hapa hivyo mimi sina tofauti na hao'

Hata hivyo nafasi ya mlinzi katika kikosi cha kwanza inaonekana kuwa mashakani huku Gerard Pique wakionekana kuwa katika hali ya kukubalika zaidi anapocheza na Jeremy Mathieu, na Jordi Alba upande wa kushoto.
Sitting on the fence: Parsons looking at one of the properties in Barcelona

Home win: One of the houses which Vermaelen looked at as he looks to settle in to life in Spain
Moja kati ya nyumba ambazo Vermaelen alipitia kusaka makao yake nchini Hispania.

No comments:

Post a Comment