KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, June 26, 2012

Ricky Burns kutetea taji lake la WBO dhidi ya Kevin Mitchell


Ricky Burns
Mscotish Ricky Burns anatarajia kuweka taji lake la WBO lightweight rehani dhidi ya mwingereza Kevin Mitchell katika jijini Glasgow September 22.
Burnsmwenye umri wa miaka 29 umri wake ni zaidi kwa miezi 18 kwa mpinzani wake toka Essex lakini mabondia hawa wanarekodi inayotaka kufanana na mara moja walishawahi kucheza mchezo wa maandalizi (sparring partners).
Amenukuliwa Burns akisema
"katika mchezo huu napaswa kuthibisha ubora mbele ya Mitchell na litakuwa pambana la mafahari wawili".
Bado kuthibitishwa ukumbi utakao tumika kwa ajili ya pambano hilo.

No comments:

Post a Comment