KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, July 3, 2012

Ratiba ya ligi ya Uganda 2012/2013:Express kuanza kutetea taji dhidi ya Police.

Mabingwa wa soka Uganda 2011/2012 Express

Mabingwa wa soka nchini Uganda Express FC wanatarajiwa kuanza kutetea taji la ligi kuu ya soka nchini Uganda dhidi ya mabingwa wasoka nchini humo mwaka 2005 Police FC pambano ambalo litapigwa huko Wankulukuku.
Kwa kujubu wa ratiba mpya ya ligi ya Uganda ilitolewa inaonyesha kuwa ligi kuu kwa msimu wa 2012/2013 itaanza August 24.
Wageni wa ligi hiyo SC Victoria University na Kira Young wataanzia katika viwanja vya nyumbani dhidi ya Bidco na Maroons.
Entebbe Young watakuwa wageni wa Proline kule Lugogo. Bunnamwaya wataanza kampeni ya kusaka taji la pili katika kipindi cha miaka saba ya ushiriki wao katika ligi hiyo dhidi ya Simba.

 George ‘best’ Nsimbe ataanda kipindi msimu kama bosi wa KCC dhidi ya Masaka Local Council.
Baada ya kuwaacha wachezaji wake kadhaa wakongwe Alex Isabirye ambaye ni bosi wa URA ataanzia kule Lugazi dhidi ya Water FC.
mabingwa wa kihistoria nchini Uganda SC Villa wanatarajiwa kuanza dhidi ya wageni Kakindu.
August 24 fixtures
Bunamwaya SC Vs Simba FC, Buikwe
Express FC Vs Police FC, Wankulukuku
Kira Young FC Vs Maroons FC, Luzira
Masaka LC FC Vs KCC FC, Masaka RC
Proline FC Vs Entebbe Young FC, Lugogo
SC Victoria University Vs BIDCO FC, Namboole
URA FC Vs Water FC, Lugazi
Victors FC Vs SC Villa, Kakindu – Jinja


No comments:

Post a Comment