KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, August 25, 2012

TBF : TUNATAKA VIWANJA VYA KIKAPU NA WAFADHILI



Shirikisho la mchezo wa mpira wa kikapu Tanzania TBF Limeishukuru serikali kwa kuendelea kulisapoti katika juhudi zake za kuuendeleza mchezo wa mpira wa kikapu hapa nchini , hasa linapoandaa clinic mbalimbali.

Mbali na shukurani hizo TBF imeiomba serikali kuangalia suala zima la miundo mbinu ya viwanja vya mchezo huo.

Kauli hiyo ya TBF imetolewa na Rais wake Musa Mziya wakati wa ufunguzi wa Clinic ambayo iliendeshwa kwa siku mbili na wacheza kikapu maarufu katika ligi ya mchezo huo nchini Marekani NBA Hashim Thabiti mtanzania na Luo Ben ambaye ana asili Sudani wa kusini mwenye uraia wa Uingereza  anayeichezea Chikago bulls.
.
Akizungumza katika  hotuba ya ufunguzi wa klinic hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Don Bosco na kuanzia jana na kumalizika leo , Rais wa TBF Mussa Mziya amesema  pamoja na mchezo huo kuendelea kupata sapoti ya wahisani mbalimbali lakini uhaba wa viwanja kwao ni kikwazo                                            

Bofyahapa Ama kwa upende wake Naibu Mkurugenzi wa michezo Tanzania Juliana Yasoda amesema serikali ipo bega kwa ubega katika kuendeleza michezo na itaendelea kufanya hivyo,kwa kuweka na kuandaa mazingira mazuri ya kuwalinda na kuwasaka wafadhili wapya Bofya hapa
 Bofya hapa



No comments:

Post a Comment