KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, October 15, 2012

MASHALI AMCHAPA MGANDA SEBYALA NA KUAZIMISHA VEMA NYERERE DAY.

Bondia Thomas Mashali usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kumtupia makonde mazito na ya akili bondia Medy Sebyala wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati ambapo Mashali alishinda kwa point.
 
Pichani juu akiwa na mbunge kijana na mpenda michezo  Iddi Azan ambaye ni mbunge Kinondoni.

Picha ya kati akipambana vikali na mpinzani wake Medy Sebyala na picha ya chini akiwa na mashabiki wake akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Haule Profesa J, mlinzi wa kati wa mabingwa soka Tanzania Bara Simba, Juma Nyoso pamoja na kiungo Haruna Moshi 'Boban'.

No comments:

Post a Comment