KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, March 4, 2013

RONALDO AREJEA ENGLAND BAADA YA MIAKA MITATU.NA NUSU.

 City slickers: Real Madrid were put through their paces at the home of United's great rivals
Macho na masikio ya wapenzi wa soka nchini yanaelekezwa katika dimba la Old Trafford hapo kesho na pengine yakaelekezwa zaidi kwa mshambuliaji na nahodha wa Real Madrid Cristiano Ronaldo, ambaye atakuwa akirejea katika uwanja huo kwa mara ya kwanza tangu aihame klabu hiyo kwa uhamisho wa gharama ya rekodi ya dunia ya pauni milioni £80. 
Hii leo kikosi kizima cha Real Madrid kilikuwa kikifanya mazoezi ya mwisho kabla ya pambano hilo la kesho ambapo meneja wa Madrid Jose Mourinho amefanya maamuzi yasiyokuwa ya kawaida ya kufanya mazoezi katika dimba Etihad ambalo linamilikiwa na wapinzani wakubwa wa United, Manchester City, badala ya kutumia uwanja wa utakao tumika kwa mchezo huo wa Old Trafford.
Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo
Pichani juu anaonekana Cristiano Ronaldo akifanya mazoezi siku moja kabla ya kukabilinana na United ambayo ni klabu yake ya zamani kabla ya kuihama.
Any tips? Real Madrid were put through their paces at the home of United's great rivals
Real katika kipindi cha majira ya kiangazi walikuwepo katika uwanja huo wa Etihad ambapo walifanikiwa kukiondosha kikosi cha Roberto Mancini katika michuano hiyo ya vilabu bingwa Ulaya.
Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari bosi wa United Sir Alex Ferguson alisita kuzunguzia juu ya mchezaji gani anadhani atakuwa hatari katika kikosi cha Madrid.
Not a one-man team: Former Liverpool star Xabi Alonso is another familiar face United will have to keep quiet
Nyota wa zamani wa Liverpool Xabi Alonso ni mchezaji anayetazamwa kama sura ya mchezaji anayefahamika vema kwa United.
Not a one man team: Former Liverpoll man Xabi Alonso is another familiar face United will have to keep quiet
Real Madrid training
All seeing eye: Jose Mourinho kept tabs on his squad as they went through their pacesAll seeing eye: Jose Mourinho kept tabs on his squad as they went through their paces

No comments:

Post a Comment