KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, July 20, 2013

A-League All Stars 1 Manchester United 5: Moyes apata ushindi wa kwanza tangu aanze kazi na United Welbeck aonekana mwenye kujiamini ziadi.looking full of confidence

Boost: Danny Welbeck's two goals will help his confidence going into the new season
Danny Welbeck magoli yake mawili huenda yakamuongezea hali ya kujiamini zaidi wakati wa msimu mpya.
Impressive: Youngster Jesse Lingard scored twice in an excellent performance
Jesse Lingard alifunga magoli mawili akionyesha kiwngo cha juu.

 Meneja wa Manchester United  David Moyes ameanza kupata ushindi wake wa kwanza tangu aanze kazi ya kuifundisha klabu hiyo akiishinda All Stars ya Sydeney huku akilazimika kuketi kitako na mshambuliaji wake Danny Welbeck kwa lengo la kumuongezea makali mbele ya goli.

Vikosi

All Stars: Covic, Bojic, Beauchamp, Boogaard, Topor-Stanley, Rose, McGlinchey (Grant 62), Emerton (Carrusca 84), Miller, Broich, Berisha.
Goal: Berisha 52.
Man Utd: Lindegaard, Rafael, Ferdinand (Keane 46), Jones, Evra, Zaha, Carrick (Anderson 71), Cleverley, Lingard, Giggs (Van Persie 62), Welbeck (Januzaj 71).
Goals: Lingard 11, 55, Welbeck 34, 71, Van Persie 87.
 
Having only scored two goals all last season, something has clearly been amiss.
Katika uwanja wa ANZ hii leo, Welbeck alishuhudiwa akifunga magoli mawili lakini akionekana wakati fulani kuwaogopa walizni wa A-League All Stars katika muda wake aliocheza wa dakika 70.

Maiden: New boss David Moyes celebrated his first win in charge of the club
Bosi mpya wa United David Moyes akishinda mchezo wake wa kwanza tangu ajiunge na United.

One back: Besart Berisha celebrates making it 2-1
Besart Berisha akishangia goli aliloifungia All Stars na kufanya matokeo kusomeka 2-1.

At the double: Lingard is mobbed after scoring an excellent second goal
Lingard akikumbatiwa baada ya kufunga goli lake safi la pili.

Mfungaji mwingine wa United alikuwa ni Robin van Persie aliyeingia kuchukua nafasi ya kinda Jesse Lingard, mchezaji anayeonekana kuwa atakuwa mwiba hapo baadaye ambaye amekuwa akitumika kuziba nafasi za majeruhi katika ziara hiyo.

Kinda huyo alifunga goli la kwanza na la tatu magoli ambayo yatakuwa kumbukumbu nzuri kwa mashabiki takribani 83,000 walioshuhudia mchezo huo.
Late goal: Robin Van Persie adds a fifth in the dying minutes
Robin Van Persie.
Impressive: Lingard had an excellent match
In the spotlight: Wilfried Zaha was also impressive for UnitedHuge support: 80,000 fans turned up to watch the match
Huge support: 80,000 fans turned up to watch the match
Tussle: Ryan Giggs does battle with Nikolai Topor-Stanley
Tussle: Ryan Giggs does battle with Nikolai Topor-Stanley
Strike: Thomas Broich shoots at goal for the All Stars
Strike: Thomas Broich shoots at goal for the All Stars

No comments:

Post a Comment