
Gerrard mwenye umri wa miaka 30, aliingia kipindi cha pili wakati Liverpool ikiwa nyuma kwa bao 1-0 na kufanikiwa kipiga “hat-trick” iliyopelekea Liverpool kuapata matokeo ambayo yanaifanya iweze kuongoza kundi la K na kumulika macho katika hatua ya timu 32 za mwisho.
Akikaririwa Hodgson anasema kilikuwa ni kiwango cha hali ya juu
No comments:
Post a Comment