Felix Sunzu wa Simba kulia akimuhadaa mlinzi wa Vita Club |
Mchezo wa
mwisho wa hatua ya makundi katika kundi A umemalizika kwa mabingwa Tanzania
Bara Simba dhidi ya Vita Club kwenda sare ya bao 1-1 mchezo ulifanyika katika
uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Vita ndio
waliokuwa wa kwanza kupata bao katika kipindi cha kwanza kunako dakika ya 35
kwa njia ya penati lililofungwa na Tadi Etikiama na Simba walisawazisha kupitia
kwa Haruna Moshi kunako dakika ya 67 baada ya kuunganisha krosi safi ya Musa
Mudde toka kusini mashariki mwa uwanja.
Baada ya
mchezo wa hatua ya makundi kundi A kumalizika katika uwanja wa taifa jijini Dar
es Salaam
Michezo ya
nusu fainali itakuwa ni kama ifuatavyo
July
23/07/2012
URA vs APR
Yanga vs Mafunzo
July 24/07/2012
Vita
Club vs Atletico
Simba vs Azam
No comments:
Post a Comment