KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, November 29, 2012

MISS UNIVERSE APEWA BARAKA ZA NCHI KUWAKILISHA. AKABIDHIWA BENDERA.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini(BASATA) Ghonche Materego(kushoto picha ya juu) akimkabidhi bendera ya Taifa Mrembo wa Tanzania anayeshikilia taji la Miss Universe 2012, Winfrida Dominic, kwenye ofisi za Baraza hilo jijini Dar es Salaam jana. Mrembo huyo anaiwakilisha Tanzania kwenye fainali za mashindano hayo nchini Marekani yanayotarajiwa kufanyika Desemba 19 mwaka huu. Picha ya chini, Materego akizungumza na mrembo huyo kabla ya kumkabidhi bendera.

No comments:

Post a Comment