KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, January 11, 2013

MESSI NDIYE GOLDENBALLS MPYA BAADA YA KUMSHINDA DAVID BECKHAM SASA KUVAA VIATU MAALUM KUTOKA ADIDA DHIDI YA MALAGA KUSHEHEREKEA MAFANIKIO YAKE.



Boot-iful: The specially-designed Adidas F50s Messi will wear against Malaga on Sunday
`Boot-iful: The specially-designed Adidas F50s Messi will wear against Malaga on Sunday
Viatu maalum ambavyo vimetengenezwa na kampuni ya Adidas aina ya F50s ambavyo Messi atavaa katika mchezo dhidi ya Malaga jumapili.

Baada ya kumshinda David Beckham kwa tuzo za mipira ya dhahabu Lionel Mess atakuwa akivaa viatu maalum kusherekea mafanikio yake. 

Kwa miaka mingi David Beckham ndiye mchezaji aliyekuwa amekusanya tuzo nyingi zaidi kuliko mchezaji yoyote duniani lakini sasa amejitokeza mshindani mpya Messi.

 Golden Balls! Lionel Messi poses with his four Ballon D'Or trophies after winning the World Player accolade for a fourth straight year this week
Golden Balls! Lionel Messi akiwa pamoja na tuzo zake nne za Ballon D'Or 


Lionel Messi shows off his four Ballon D'Or trophies

Lionel Messi shows off his four Ballon D'Or trophies

Boot-iful: The specially-designed Adidas F50s Messi will wear against Malaga on Sunday
Viatu maalum ambavyo vimetengenezwa na kampuni ya Adidas aina ya F50s ambavyo Messi atavaa katika mchezo dhidi ya Malaga jumapili.

No comments:

Post a Comment