KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, February 27, 2013

WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO NA MAAFISA HABARI WA MIKOA MBALIMBALI WAPIGWA MSASA MKOANI MOROGORO.

Kaimu katibu tawala wa mkoa wa Morogoro Bi Maria Mbora Nkya akifungua semina ya waandishi wa habari za michezo nchini katika ukumbi wa Amabilis mkoani Morogoro. kushoto ni mratibu wa semina hiyo Jacob Nduye.
Mwezeshaji Bi Sauda Simba Kilumanga akitoa mada katika siku ya kwanza ya semina iliyoandaliwa kwa waandishi wa habari za michezo katika ukumbi wa Amabilis Mkoani Morogoro.
Mwezeshaji Bi Leanne Martin-Pollock akitoa mada katika semina hiyo.
Mhariri wa michezo wa gazeti la serikali la Daily news Nasongelya Kilyinga akiunganisha vipande vya mistari vilivyokatwa ili kupata habari kamili ikiwa  ni sehemu zoezi kutoka kwa wakufunzi.
Mhariri wa habari za michezo wa gazeti la Mtanzania Mwani Nyangasa akichangia mawazo na maafisa habari Adrophina Ndyeikiza na Sakina mfinanga.
Maafisa habari wa walikuwa ni sehemu ya waliohudhuria semina hiyo.
Kutoka kushoto ni Mhariri wa habari za michezo wa gazeti la Nipashe Amour , Malio Cheto na Philipo Cyprian wa TBC.
Mwandishi wa habari za michezo mkongwe Asha Kidungule wa Jambo Leo akizungumzia majukumu yake ya kila siku anapokuwa ofisini na majukumu ya wahariri wa habari.

No comments:

Post a Comment