KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, March 14, 2013

BURIANI FINNY MUYESHI MSEMAJI WA BARAZA LA VYAMA VYA SOKA AFRIKA MASHARIKI NA KATI (CECAFA).

Baraza la vyama vya soka Afrika mashariki na kati CECAFA limethibitisha kifo cha aliyekuwa afisa habari  wa baraza hilo Finny Muyeshi ambaye amefariki dunia jana jioni.
Akiongea na Rockersports katibu wa baraza hilo Nickolaus Musonye amesema kuwa baraza lake limesikitishwa na kifo cha afisa habari wake ambaye amekuwa mchapa kazi hodari ndani ya baraza hilo ambaye aliugua kwa muda mrefu na hatimaye jana akafariki dunia.
Musonye amesema kuwa mazishi ya Muyeshi yatafanyika wiki ijayo.
Amesema kwa CECAFA huo msiba mkubwa kwani alikuwa mstarabu na mwenye kujituma muda wote katika kazi yake na kwamba pengo lake ni kubwa katika baraza hilo.

BOFYA CHINI KUMSIKILIZA MUSONYE

No comments:

Post a Comment