Bondia
mkongwe wa ngumi za kulipwa nchini Rashidi Matumla anatarajiwa kuwa mgeni
rasmi katika mapambano ya vijana ya mchezo huo yatakayofanyika katika
ukumbi wa Gadafi Jijini Dar es Salaam.
Katika mapambano hayo pambano kubwa litakuwa ni baina ya Ramadhani Kumbele dhidi ya Selemani Shabani ambalo litachezwa kwa raundi.
Katika mapambano hayo pambano kubwa litakuwa ni baina ya Ramadhani Kumbele dhidi ya Selemani Shabani ambalo litachezwa kwa raundi.
Akiongea
jijini Dar es Salaam leo Rais wa Chama cha ngumi za kulipwa nchini TPBO
Yassin Abdallah Mwaipaya amesema kuwa kila kitu kipo sawa sawa hususani
suala zima la ulinzi.
BOFYA CHINI KUMSIKILIZA YASINI.
No comments:
Post a Comment