KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, April 23, 2013

ukurasa wa habari za michezo kimataifa. soma.............................

Manchester United: Ferguson ampongeza Van Persie
Sir Alex Ferguson amesema Robin van Persie has had "as big an impact as anyone" he can remember at Manchester United after helping them win the Premier League.
Mduchi huyo mwenye umri wa miaka 29 ali[piga hat-trick usiku wa jana katika mchezo wa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Aston Villa ambayo yameipa ushindi United wa kutwaa taji la 20 al ligi kuu Primier League.
Mabao ya jana yamekamilisha jumla ya mabao yake ya kufunga kuwa 24 tangu ajiunge na United akitokea Arsenal kiangazi .
Did you know? Van Persie hat-trick dhidi ya Villa ilikuwa ya pili katika msimu huu kwa msimuuwas his second of the season for United. Aliwahi kufunga hat-tricks tatu katika kipindi chote alichokuwa Arsenal
Ferguson amesema.
"Nakumbuka meneja wa Arsenal mzee Arsene Wenger aliniambia ni mchezaji mzuri kuliko ninavyo mfikiria  wakati huo tukimaliza mchakato alikuwa sahihi "
Mapema msimu huu bosi wa Manchester City Roberto Mancini alikaririwa akisema kushindwa kwake kumnunua Van Persie kulitokana na tofauti baina ya timu hizo mbili katika mbio za taji.
Ferguson amesema
"jamaa ametoa mchango wa aina yake zaidi ya ambao ni kuliko mtu mwingine.
"Eric Cantona alikuwa ni mchezaji wa aina hiyo na nimekuwa ni mwenye bahati ya kupata washambuliaji fantastic takribani washambuliaji 10 wazuri katika klabu hii.
Ferguson ameliita goli la pili la Van Persie al mguu wa kushoto mpira wa  volley kuwa "goal of the century".
"It was a marvellous hit, head down, over the ball, perfect timing - a magnificent strike.
"hilo ni miongoni mwa magoli mazuri yaliyo wahi kufungwa kwa miaka mingi huko nyuma yakifungwa na akina David Beckham, Ole Gunnar Solskjaer, Eric Cantona nalo linajumuishwa humo.

MOST PREMIER LEAGUE TITLES:
Club/player
Titles
Manchester United
13
Ryan Giggs
13
Paul Scholes
11
Gary Neville
8
Denis Irwin
7
Roy Keane
7
David Beckham
6
Nicky Butt
6
Ole Gunnar Solskjaer
6
Phil Neville
6
Rio Ferdinand
6
Peter Schmeichel
5
Andy Cole
5
Wes Brown
5
John O'Shea
5

Club/player
Titles
Wayne Rooney
5
Patrice Evra
5
Nemanja Vidic
5
Michael Carrick
5
Eric Cantona
4
Brian McClair
4
Gary Pallister
4
Edwin van der Sar
4
Park Ji-Sung
4
Darren Fletcher
4
Arsenal
3
Chelsea
3
Blackburn Rovers
1
Manchester City
1


Champions League semi-final first leg
    Venue: The Allianz Arena

Meneja wa Bayern Munich Jupp Heynckes anasema haogopi juu ya kurejea kwa Lionel Messi katika kikosi cha Barcelona katika mchezo wao wa leo wa ligi ya mabingwa hatua ya nusu fainali nchini Ujerumani.
Messi hakuwepo uwanjani tangu alipoondoshwa uwanjani katika mchezo dhidi ya Paris St-Germain.
Kwasasa inaarifiwa kuwa yuko sawa.
Katika msimu huu wa ligi ya mabingwa Messi amefunga jumla ya mabao 8 msimu ambao ulikuwa mzuri kwa muajentina huyo.
Mwezi uliopita aliweka historia ya kufunga kila mchezo mfululizo katika ligi kuu ya Hispania La Liga.
Jordi Roura anasema amesafiri na kuna uwezekano wa kucheza nchini Ujerumani.
Barcelona wanasaka taji kwa mara ya tatu ndani ya kipindi cha misimu mitano ilhali Bayern Munich wanasaka nafasi ya kucheza fainali ya mabingwa ulaya kwa mara ya tatu ndani ya misimu minne mfululizo.
"natarajia tutaweza kucheza na hicho si kitu kinacho niumiza kichwa".
Meneja huyo wa zamani  wa Real Madrid Heynckes hajatafuta ushauri wa aina yoyote kutoka na meneja wa zamani wa Barcelona Pep Guardiola katika kipindi cha mmaandalizi ya mchezo huo dhidi ya vinara wa ligi kuu ya nchini hispania La Liga.
Guardiola atachukua nafasi ya Heynckes katika Bayern dugout kiangaji.

Mario Gotze kujiunga na Bayern Munich akitokea Borussia Dortmund kwa uhamisho wa gharama.

Mario Gotze anatarajiwa kuwa ndiye mchezaji mwenye thamani kubwa wa kijerumani wa muda wote baada ya mabingwa wa soka wa Bundesliga Bayern Munich kutangaza kuwa kiungo huyo wa Borussia Dortmund atajunga nao majira ya kiangazi.
Bayern wamesema kuwa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20 ataelekea kwao july mosi kufuatia mchezaji huyo wa kimataifa wa Ujrumani kuwambia waziwazi Dortmund kuwa anataka kuondoka.
Kocha wa Dortmund Jurgen Klopp amekaririwa akisema  "Mario anajua kuwa amepata mengi katika klabu lakini anajua pia kuwa ataacha mengi nyuma yake"
Kiwango cha ada ya uhamisho kilichowekwa wazi kimetajwa kuwa ni euro milioni 37m euros (£31.5m).
Kabla ya hapo mchezaji mwenye thamani wa kijerumani alikuwa ni Mario Gomez ambaye alihama kutoka Stuttgart mwaka 2009 kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni £26.5m alipojiunga na Bayern.
Gotze atajiunga na Bayern wakati mmoja na meneja mpya Pep Guardiola, ambaye anakwenda kuchukua nafasi ya Jupp Heynckes.
Klopp amesema
"Gotze alikuwa akitakiwa na Guardiola kusajiliwa na klabu hiyo.
German transfer records
    Mario Gotze (2013): Dortmund to Bayern £31.5m (reported)
    Mario Gomez (2009): Stuttgart to Bayern £26.5m
    Manuel Neuer (2011): Schalke to Bayern £19.5m
    Mesut Ozil (2010): Werder Bremen to Real Madrid £16m
Dortmund chief executive Hans-Joachim Watzke said his club were "disappointed beyond measure" about Gotze's decision to leave but that the player and his advisers had "behaved within the terms of the contract".

 Deco: amchana Abramovich.

kiungo wa zamani wa Chelsea Deco de Souza amesema Chelsea si kama vilabu vingine vya England kwasababu ya namna mmiliki wake Roman Abramovich anavyoiendesha.
Kiungo huyo kimataifa wa zamani wa Brazil ambaye alifanya kazi chini ya makocha Luis Felipe Scolari, Guus Hiddink na Carlo Ancelotti katika kipindi chake cha miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo amesema kuwa anamini Abramovich anachukua maoni ya mashabiki zaidi kuloko professionalism.
Akiongea na wanahabari amesema
"Chelsea ndio klabu pekee inayopenda kufanya hivyo"
Anaemdelea kwa kusema
"ndani ya klabu mameneja ndio wanaokuwa na nguvu zaidi ya kuamua na kufanya kazi. Nimekuwepo pale tangu wakati wa Peter Kenyon na mambo yamebadilika tangu wakati huo alipoondoka"
Anaongeza kwa kusema
"sina hakika namna mambo yanavyokwenda sijui kama Abramovic anafanya maamuzi yote ama lah. Lakini ni wazi kuwa kama wewe ni mmiliki wakati mwingine unakuwa na mawazo ya mashabiki kuliko ya kitaalamu.
Nilikuwa na mameneja watatu pale Scolari, Hiddink na Ancelotti, lakini ni wazi kwamba ni klabu ukiachilia mbali utamaduni wa kingereza."
Hata hivyo kiungo huyo pia wa zamani wa Porto na Barcelona amependelea kumuona Jose Mourinho akirejea Stamford Bridge ikiwa ni miaka sita.

Cameroon waanza mchakato wa kumpata kocha mpyakuchukua nafasi ya Akono

Cameroon imeanza mchakato wa kumpata kocha mpya wa timu ya taifa Indomitable Lions.
Hata hivyo kocha wa muda wa sasa Jean-Paul Akono amesema hayuko tayari kuomba kazi hiyo.
Alichukuliwa kama kocha wa timu ya taifa wa muda mwezi September mwaka jana akichukua nafasi ya mtangulizi wake Denis Lavagne na tangu wakati huo amekuwa akifanya kazi bila ya mkataba.
Waziri wa michezo wa Cameroon , Adoum Garoua, amelitaka shirikisho la soka la nchi hiyo CFF kuwapelekea orodha fupi ya makocha ya wale watakao pewa kibarua hicho.
Kulikuwepo na malalamiko kuwa wakati wakimpa kazi ya muda Akono taratibu za mchakato wa kusaka kocha hazikufuatwa na ndio maana hakupewa mkataba.
Inaaminika kuwa Akono alikuwa katika makubaliano ya kulipwa US$30,000.
Maamuzi yake ya kutokuwania nafasi huyo kumeonekana kuwafurahisha hata wadhamini wa vifaa vya timu ya taifa kampuni ya Puma.

No comments:

Post a Comment