KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, May 15, 2013

BAADA YA LAMPARD KUWEKA REKODI MPYA YA UFUNGAJI NDANI YA CHELSEA NI WAKATI KWA KLABU HIYO KUMUENZI ALIYESHIKILIA REKODI KWA MIAKA 47 TAMBLING.

Adulation: Frank Lampard is hoisted into the air by Petr Cech as he laps up the Chelsea fans' celebrations
Frank Lampard akibebwa juu na Petr Cech huku akiwapungia mashabiki baada ya mchezo dhidi ya Aston Villa baada ya kufunga mabao mawili yaliyo mpa rekodi ya ufungaji ya Chelsea.

  Baada ya Frank Lampard kufunga jumla ya mabao 203 akiwa na Chelsea na kuwa mfungaji bora wa wakati wote wa klabu hiyo kwa kuipita rekodi ya Bobby Tambling aliyefunga jumla ya mabao 47 sasa ni wakati wa Chelsea kumuenzi Tambling kwa kutunza rekodi hiyo kwa muda mrefu na kuipa mafanikio.
Frank Lampard aliweka ukurasa mpya kwa kufunga magoli mawili katika mchezo wa ligi kuu ya England katika mchezo wa jumamosi iliyopita dhidi ya Aston Villa.
Licha ya kwamba jina lake halikuwa kubwa katika soka lakini bado mashabiki wa Chelsea hawakuweza kumsahau Tambling, na aliwahi kupigiwa kura katika listi ya wachezaji 11 bora wa kikosi cha kwanza cha kihistoria cha klabu hiyo katika sherehe za mwaka 2005.

 Lampard
Lampard, Dixon and Tambling
Lampard

Pichani juu Lampard akiongea na Tambling kwa simu baada ya mchezo na picha ya pembeni wakiwa katika picha ya pamoja na Kerry Dixon mwezi uliopita.
Tambling ambaye alifunga mabao 202 kati ya mwaka 1959 na 1970, alishikilia rekodi hiyo kwa miaka 47.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Chelsea hakuwa katika hali nzuri kiafya katika siku za hivi karibuni na alilazwa hospitali kwa miezi mitatu mwaka huu.
 
Hero: Tambling in action for Chelsea in 1968
Tambling enzi zake akiwa na Chelsea mwaka 1968.

Prolific: Tambling (centre) slots the ball past Gordon banks while scoring for Chelsea against Leicester City
Tambling (katikati) akipiga shuti katika mchezo dhidi ya  Leicester City

Mapema mwaka huu , Tambling alimpongeza kiungo huyo wa England na kumpa pole kwa kukosa taji la ligi ambapo amekuwa akimwita Lampard, kuwa ni mchezaji mkubwa na bora kuwahi kutokea ndani ya Chelsea.
'Frank mara zote amekuwa akinijulia hali na kunitakia kila la kheri nipone haraka. Huwa ananiambia nisiwe na wasiwasi na kwamba nitapona. Ni mtu mstarabu.

Tricky: Tambling (right) works the ball past Ron Flowers of Wolverhampton Wanderers
Tambling (kulia) akiambaa na mpira na kumpita Ron Flowers wa Wolverhampton Wanderers.
Poacher: Tambling (centre) bearing down on goal as Chelsea score past Arsenal keeper Jack Kelsey
Tambling (katikati) akifunga goli huku mpira ukimpita mlinda mlango wa Arsenal Jack Kelsey.
Die-hard: Tambling throws himself at the ball to attempt to score from a tight angle against Burnley in 1969
Tambling akijaribun kufunga kutoka katika kona ngumu katika mchezo dhidi ya Burnley mwaka 1969.
Tambling alipewa tuzo ya heshima na kutambua mchango wake ndani ya Chelsea kwa mwaka wa jana tuzo ambayo alikabidhiwa na Lampard.
 
Line-up: The Chelsea line-up in the mid-1960s, with Tambling bottom row on the far left
Wachezaji wa Chelsea mwaka 1960, Tambling wa mwisho kushoto waliokaa. 
Golden years: Tambling hits home past Arsenal's Jim Furnell
Golden years: Tambling hits home past Arsenal's Jim Furnell
The blossoming partnership spearheaded Chelsea’s attack, and with Docherty introducing fellow youngsters like Terry Venables and Peter Bonetti, the Blues returned to the top flight at the first time of asking, and finished 5th in their first season back.
Tambling was Chelsea’s top scorer in both seasons, and scored the opening goal in the club’s two-legged League Cup Final win over Leicester City in 1965.
That was the only major trophy of Tambling’s career, as Chelsea’s only other final in his spell at the club – the first all-London FA Cup final in 1967 against Tottenham – was lost 2-1, despite Tambling getting Chelsea’s late goal.
Injuries and the emergence of Osgood meant more sporadic appearances for Tambling in his final seasons with the club, and he departed for Crystal Palace in January 1970.
Moved to tears: Tambling was emotional when being hailed at Stamford Bridge last month
Tambling ndani ya uwanja wa Stamford Bridge akishangiliwa mwezi uliopita akiwa katika baiskeli.

No comments:

Post a Comment