KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, May 22, 2013

MANENO YALIYO ANDIKWA NA WACHEZAJI WAKONGWE WALIOSTAAFU MANCHESTER UNITED JUU YA KILE WANACHOKUMBUKA ENZI ZA KUCHEZA SOKA ...............SOMA.

David Beckham
David Beckham of Manchester United

Beckham anastaafu mwaka huu baada ya kungara katika soka akiwa katika kiwango.

Kuna siri nyingi zilizo jificha juu ya mafanikio yaliyotukuka na yasiyokuwa ya kawaida yaliyo jificha ya Sir Alex Ferguson akiwa na Manchester United na kwa kupitia makabrasha imeonekana kuwa ni pamoja na maandalizi ya mapema kuwa ni moja kati ya hayo.
 
Mapema huko nyuma katika miaka ya 1990 kikosi maarufu cha Ferguson ambacho kiliwajumuisha wakali kama David Beckham, Paul Scholes na Gary Neville, kiliulizwa kutoa maelezo juu ya kusakata kwao soka la kiwango cha juu yaani professional football na kuelezea japo kwa kiduchu wanachokumbuka enzi za soka lao la ujana.

Akiwa na umri wa miaka 17 mkongwe Beckham alidokeza juu ya fainali ya michuano ya vijana ya mwaka 1991 kuwa ni mchezo ambao alicheza vizuri kwa kuandika maeno haya

 'My best game was the youth cup final in 1991 against Crystal Palace 1st leg when we won 3-1 and everythink (sic) went right and I scored a good goal + set up 1 and the crowd was really good and load (sic).'
Reflective: David Beckham's notes as a 17-year-old in the early 1990s
Dokezo la David Beckham akiwa na umri wa miaka 17 mapema miaka ya 990s

Beckham hakufurahia mchezo wa pili licha ya kudai kuwa c**p and the officials were also c**p.
 
Lakini Beckham hakuwa peke yake kutua macho juu ya kiwango chake.
 
Ryan Giggs, pengine ameonyesha juu ya kile kilichopelekea kuwepo katika soka kwa kipindi kirefu ambapo hakuweka maneno ya kuonyesha mchezo aliocheza kwa uzuri.

Alichokifanya ni kudokeza juu ya kiwango kibovu alichocheza katika mchezo dhidi ya Oldham akisema kiwango hakikuwa kizuri. Ameandika 
'I got marked out of the game and I must of kicked the ball about twice.'
Scathing: Ryan Giggs couldn't highlight a match in which he played well
Ryan Giggs hakuweza kutaja mchezo aliocheza vizuri.
Medals: Giggs has won 13 Premier League titles and two Champions Leagues at United
Giggs ameshinda mataji 13 ya Premier League na mawili ya Champions Leagues akiwa na United

Still going: The 39-year-old came off the bench against West Brom in a 5-5 draw at the weekend
Ryan Giggs akiwa na umri wa miaka 39 alicheza mchezo huo akitokea benchi mchezo ambao ulimalizika kwa sare ya bao 5-5 na West Brom.

Gary Neville pia ameonyesha kuwa alikuwa ni mchezaji wa aina gani alikuwa katika michezo aliyocheza vizuri licha ya kuangalia kiwango kilichoonyeshwa na timu.

Aliuelezea mchezo pili wa fainali wa michuano ya vijana dhidi ya Leeds kama mchezo aliocheza vibaya na kusema 
'didn't feel in the game'.

Neville kwasasa anafanya kazi ya kutathmini soka katika luninga la Sky Sports pamoja na kufanya kazi ya ukocha akiwa na kikosi cha England pamoja na Roy Hodgson.

Short and sweet: Gary Neville kept his notes very brief
Maneno ya dokezo kutoka kwa Gary Neville

One of many: Beckham and Neville lift the Premier League trophy in 1996
Beckham na Neville wakishikilia kombe la ubingwa wa Premier League mwaka 1996

Simple: Paul Scholes didn't offer much insight in his notes
Paul Scholes hakutoa maneno mengi ya dokezo la soka lake.
Final bow: An emotional Scholes walks back to the dressing room after his final match at The Hawthorns
 Scholes

Paul Scholes aliandika 
 'I thought I played well in the FA Cup semi-final second leg against Millwall in which we needed to win 2-0 to progress to the final.'
'The worst game I played in was the second leg of the final against Leeds Utd where we were beaten 2-1 and lost the cup.'

No comments:

Post a Comment