KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, May 10, 2013

Martinez anasema Wigan inaota juu ya mchezo wa fainali wa FA dhidi ya City kesho katika dimba Wembley watashinda.

Shake on it: Wigan boss Roberto Martinez smiles as fans flock to see the team off on their trip to London
Bosi wa Wigan Roberto Martinez akitabasamu na shabiki wa klabu hiyo wakati wa safari ya kuelekea London.

 Bosi wa Wigan Roberto Martinez amewaambia wachezaji wake wanapaswa kuwa na ndoto ya uwezekano wa kushinda taji la FA kesho katika fainali dhidi ya Manchester City uwanja wa Wembley.
Mazungumzo juu ya kuwa katika nafasi ya kushuka daraja kwasasa yanaonekana kupoteza maana.

Good luck: The town crier greets Martinez, who praised the growth of football in the north-west town
Hapo akipewa maneno ya upako katika mji wa kaskazini - Magharibi.

Akiongea na wanahabari Martnez amesema 
'Kitendo cha kufika katika hatua ya fainali ni jambo la kihistoria katika klabu hiyo, kushinda taji kutaipeleka klabu hiyo katika nafasi nyingine.

'Sote tuko sawa na tunatahadhari kubwa na hilo litamaanisha.
Kuna watu wengi sana wanautazama mchezo huu,
'Ni moja kati ya mambo ambayo yanatuongezea tahadhari.

Swamped: Fans flocked to Wigan North Western station to wave the team off
 Mashabiki wafurika katika stesheni ya Kaskazini Magharibi mwa Wigan kuwaaga Wigan.

Wigan
Trainspotting: Wigan's players lark about on the platform ahead of their journey to London for the final
Wigan
Is that the away kit? Striker Aurona Kone meets Wigan's town crier before he gets on the train to London
 Mshambuliaji Aurona Kone akikutana na mashabi wa mji wa  Wigan kabla ya safari ya kuelekea London.

Thumbs up: Paul Scharner salutes the crowd ahead of the final, where Martinez says his side can win
Paul Scharner akisalimia umati kabla ya mchezo wa kesho ambao Martinez anasema wanaweza kushinda.

  Manchester City wanaopewa nafasi kubwa ya kushinda imeshinda michezo yote miwili ya ligi kuu Premier League msimu huu.
 
Wigan huenda ikashida kama haitarudia mchezo wa kujilinda kama ilivyokuwa katika mchezo dhidi ya Swansea katikati ya wiki.

Flying the flag: Wigan are taking 21,000 fans to tomorrow's Wembley final against Manchester City
Wigan watakuwa na mashabiki wao 21,000 katika uwanja wa Wembley dhidi ya Manchester City.

Maynor Figueroa, Jean Beausejour, Ivan Ramis and Ronnie Stam ni wazi kwamba hawatakuwepo huku Antolin Alcaraz anaonekana atakuwepo kikosini hiyo kesho.

Kinachoonekan ni kwamba Martinez atamtumia skipper Gary Caldwell, ambaye hakuwa katika kiwango kizuri katika mchezo wa katikati ya wiki ama pia anaweza kumtumia Roman Golobart, ambaye hana uzoefu sambamba na Paul Scharner katika eneo la ulinzi.
 Martinez amesema kuwa 
'Tatizo la Ulinzi ni lazima tukubali kusaka suluhu yake,' .

No comments:

Post a Comment