KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, July 5, 2013

MADRID WAIBANIA ARSENAL KUMCHUKUA HIGUAIN WAKIMZODOA BABA YAKE ALIYETAKA AJIUNGE NA ARSENAL.

Ready or not? Higuain's seemingly impending move to Arsenal keeps running on
Madrid yaahirisha mpango wa uhamisho wa Higuain sasa kutokwenda tena Arsenal

Arsenal inakabiliwa na vita kubwa ya kumnasa Gonzalo Higuain kutoka katikam klabu ya Real Madrid baada ya taarifa kusema kuwa kigogo cha Hispania, Madrid kitaondoa wazo la ada kuwa ilikuwa inahitajika kwa ajili ya mshambuliaji huyo wa Argentina.

Licha ya kuwepo na tetesi kuwa mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25 huenda kaelekea London ya Kaskazini taarifa zaidi zinasema hakuna makubaliano baina ya vilabu hivyo viwili wakati huu wa kipindi kirefu cha uhamisho wa wachezaji cha Kiangazi.

Kuwasili kwa Carlo Ancelotti kama bosi mpya wa Real kulidhaniwa kuwa kungekuwa ni chachu ya uhamisho lakini magazeti ya Hispania sasa yameibuka na taarifa inayosema Higuain huenda sasa akaelekea kusalia Bernabeu.
 
Ready or not? Higuain's seemingly impending move to Arsenal keeps running on
Hapo kabla alithaminishwa kwa pauni milioni £23 mpango ambao sasa unaonekana kuyeyeka na kwamba Real bado haijaweka bayana kiwango rasmi kwa ajili ya Higuain kuhama, jambo ambalo linaonekana kama limemzuia mzee Arsene Wenger.

Baba yake na Higuain alinukuliwa mapema wiki hii akisema uhamisho wa mwanawe huenda ukakamilika muda si mrefu lakini taarifa za nchini Hispania zinaonyesha kuwa inataka kusalia kuwa naye

Not yet: The arrival of Ancelotti was thought to speed the process up, but no agreement has been made
Baba yake na mshambuliaji huyo Nicolas alinukuliwa akisema kupitia mtandao mmoja nchini akisema.
 
'Endapo anajiunga na Juve, na mpango wa Higuain kuelekea Arsenal uko karibu.

'Juventus ni klabu kubwa lakini Gonzalo ni mwenye thamani kubwa kwao.
'Napoli ni timu imara. sitakanusha kuwa Gonzalo karibu anajiunga na Arsenal.'
Get going: It is thought Wenger has deep pockets this summer to push for the title
Get things done: Arsenal have a similar dragged out saga with Fiorenrtina's Stevan Jovetic
Arsenal pia wako vitani kunasa saini ya mchezaji wa Fiorenrtina Stevan Jovetic

No comments:

Post a Comment