KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, July 31, 2013

NAONDOKA: Katika siku ya kwanza ya Bale ya kurejea mazoezini ampa makavu AVB kwamba anataka kuondoka na hivyo Real Madrid wanaweza kukamilisha mpango wao wa pauni milioni £85?


Heading in: Gareth Bale returned to Tottenham training on Wednesday morning
Gareth Bale amwambia bosi wa Spurs Andre Villas-Boas kwamba anataka kuondoka na kuelekea Real Madrid.
Inbound: The Welsh star, who wants to move to Spain, arrived at training on Wednesday morning
Nyota raia wa Wells anataka kuondoka na kuelekea Hispania akiwasili mazoezini katika timu yake hii leo asubuhi.
Heading in: Bale pictured leaving his house this morning
Heading in: Bale pictured leaving his house this morning

Bale juu katika picha tofauti juu akiondoka nyumbani kwake Essex akielekea mazoezini katika klabu yake ya Tottenham.

Gareth Bale amemueleza bosi wake Andre Villas-Boas ana kwa ana kuwa anataka kuondoka Tottenham na kujiunga na Real Madrid kiangazi hii.
Hili linakuja likiwa ni pigo kwa Spurs katika siku ya kwanza ya kurejea kwake katika mazoezi baada ya kutokea songombingo la klabu kubwa ya nchini Hispania Real Madrid kuweka ofa ya kumtaka mshambuliaji huyo raia wa Wells yenye thamani ya rekodi ya dunia ya pauni milioni £85.
Mkurugenzi wa michezo wa Real Zinedine Zidane amesema Bale anatakiwa kuruhusiwa ili kukamilisha ndoto yake ya kuelekea Hispania na kuongeza kuwa anakuwa mchezaji bora wa dunai atakapokuwa Bernabeu.

Bale alishinda tuzo mbili za chama cha wachezaji wa kulipwa PFA na tuzo ya tuzo ya waandishi wa habari za michezo FWA mwaka uliopita na anatazamwa kama ni miongoni mwa wachezaji bora wa dunia.
No smiles: Bale, who could end up as the world's most expensive player, has a lot on his mind
Gareth Bale, ambaye anatazamiwa kuwa mchezaji mwenye thamani kubwa duniani.

Tottenham haina wasiwasi na utayari wa malipo ya pauni milioni £85 kutoka kwa Madrid kwa ajili ya mshambuliaji huyo, licha ya kwamba mwenyekiti wa klabu hiyo Daniel Levy kusalia na msimamo kuwa hawako tayari kuikubali ofa hiyo inayokaribia kufikia pauni milioni £100.
On his way: Bale held talks with Spurs chief Daniel Levy after a change of heart of his proposed move to Spain
Bale alifanya mazungumzo na kiongozi wa juu wa klabu hiyo ya Spurs Daniel Levy baada ya mabadiloko ya moyo wake kuelekea Hispania.

Crunch talks: Gareth Bale will discuss his future with agent Jonathan Barnett and Daniel Levy and the Tottenham chairman is likely to bow to the player's requests if the price is met by Real Madrid
Bale
Join us: Zinedine Zidane (right), with Real boss Carlo Ancelotti, have been on a charm offensive
Join us: Zinedine Zidane (right), with Real boss Carlo Ancelotti, have been on a charm offensive
Touchline: Tottenham manager Andre Villas-Boas was desperate to keep hold of his key man
Touchline: Tottenham manager Andre Villas-Boas was desperate to keep hold of his key man
Dynamic duo: Bale thrived under Villas-Boas' management at White Hart Lane last season
Dynamic duo: Bale thrived under Villas-Boas' management at White Hart Lane last season
World record: The deal for Bale eclipses the £80m fee Real paid for star man Cristiano Ronaldo in 2009
World record: The deal for Bale eclipses the £80m fee Real paid for star man Cristiano Ronaldo in 2009
Holding his hands up: Bale will only consider moving to Real Madrid at this stage, not Manchester United
Holding his hands up: Bale will only consider moving to Real Madrid at this stage, not Manchester United
Bale
Bale

On his way: The Spanish media are clearly excited by the potential arrival of the Welsh winger, with sports paper AS even crediting 'Daily Mail' reports on their front page
Poster boy: Bale is a valuable marketing tool for Spurs, with this poster in Times Square, New York
Poster boy: Bale is a valuable marketing tool for Spurs, with this poster in Times Square, New York

No comments:

Post a Comment