KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Thursday, September 26, 2013

KIKOSI CHA UNITED CHAPIGA PICHA YA KIKOSI CHA MSIMU KWA MARA YA KWANZA BILA YA MZEE FURGURSON FUATILIA........................................


Centre stage: Manchester United have released their team photo for the new season with David Moyes and Marouane Fellaini the new additions
Manchester United imetoa picha yao ya kikosi kwa msimu mpya akiwemo meneja mpya David Moyes, Marouane Fellaini na Wilfried Zaha wakiwa ni ingizo jipya kikosini

Wakati Manchester United ikitoa picha yao ya kwanza maalum bila ya Sir Alef Furguson, mstari wa mbele umebadilika kwa mara ya kwanza  tangu miaka 27 iliyopita ambapo David Moyes ametokezea katika sehemu ya kati katika picha hiyo tangu kujiuzulu kwa Sir Alex Ferguson.
Picha hiyo imeachiliwa kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter, ambapo Moyes akiwa kati ya Nemanja Vidic na kiungo mkongwe Ryan Giggs.
Picha hiyo pia inamuonyesha nyota mpya Marouane Fellaini, ambaye yuko mstari wa nyuma katikati na Wayne Rooney, ambaye alihusishwa na kutaka kuihama klabu hiyo majira ya kiangazi.
 Katika picha hiyo pia Giggs na Vidic wanaonekana wakiwa wameshikilia taji la ligi kuu "Premier League" ngao ya Jamii "Community Shield".

KIKOSI CHA MSIMU CHA MANCHESTER UNITED 2013-2014

The Manchester United squad (Back Row L-R:)  Danny Welbeck, Phil Jones, Chris Smalling, Jonny Evans, Marouane Fellaini, Rio Ferdinand, Michael Carrick, Robin van Persie
(Third Row L-R:) Masseur Garry Armer, Performance Analyst Paul Brand, Head of Fitness Tony Strudwick, Antonio Valencia, Darren Fletcher, Wilfried Zaha, Adnan Januzaj, Fabio da Silva, Masseur Rod Thornley, Kit Manager Alec Wylie, Physio Neil Hough
(Second Row L-R:) Assistant Kit Manager Ian Buckingham, Physio Rob Swire, Dr Steve McNally, Alexander Buttner, Sam Johnstone, Anders Lindegaard, David de Gea, Ben Amos, Ashley Young, Coach Phil Neville, Masseur Andy Caveney, Goalkeeping Coach Chris Woods.
(Front Row L-R:) Shinji Kagawa, Rafael da Silva, Anderson, Nani, Assistant Manager Steve Round, Ryan Giggs, Manager David Moyes, Nemanja Vidic, Coach Jimmy Lumsden, Patrice Evra, Javier "Chicharito" Hernandez, Tom Cleverley and Wayne Rooney

Katika picha hiyo hawaonekani wasaidizi wa Furguson Mike Phelan, Rene Meulensteen na Eric Steele ambao nafasi zao zimechukuliwa na Steve Round, Jimmy Lumsden na Chris Woods.

Paul Scholes, ambaye huko nyuma alikuwa karibu na Ferguson, hatakuwa na pichani baada ya kustaafu baadaye huku Nick Powell na Federico Macheda hawakuwepo katika picha hiyo kwakuwa wako kwa mkopo katika vilabu vingine.

Vijana Wilfried Zaha na Adnan Januzaj pia wako pichani huku Phil Neville akirejea kama kocha..
The Treble: Sir Alex Ferguson, ROy Keane and the great treble-winning team pose ahead of the 1999-2000 season
Sir Alex Ferguson, ROy Keane katika picha mstari wa mbele katika picha ya 1999-2000.


Champions of Europe: Matt Busby, Bobby Charlton and George Best can be seen after their heroic European Cup win over Benfica in 1968
Kikosi cha klabu bingwa Ulaya mwaka 1968: Matt Busby, Bobby Charlton na George Best baada ya ushindi wa kikombe cha Ulaya dhidi ya Benfica mwaka 1968.


Electronic goods: Ron Atkinson and the 1982-83 team pose with a range of goods to mark a sponsorship deal with Sharp
Vifaa vya kielektronik: Ron Atkinson na kikosi cha msimu wa 1982-83 wakipiga picha na vifaa hivyo kama ishara ya udhamini wa kampuni ya vifaa vya elektronik ya Sharp.

Walking away: The Manchester United players leave the Old Trafford pitch after the team picture
Wachezaji wa United wakiondoka uwanja wa Old Trafford baada ya kupiga picha hiyo.

Missing: Sir Alex Ferguson was missing from the team photo after his retirement
Sir Alex Ferguson hakuwepo katika picha hiyo.

No comments:

Post a Comment