KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, October 29, 2013

LIGI KUU: MATUKIO KATIKA PICHA "MBEYA DERBY" MBEYA CITY VS PRISONS( source Mbeya yetu blog)

 Mashabiki wa Mbeya City Fc wakishangilia Goli la Kwanza 
 
Sehemu ya mashabiki jukwaa la Urusi
 Mpira umekwishaaa Wachezaji wa Mbeya City fc wakiwa wanashukuru mashabiki wao baada ya kuwasapoti kwa ushindi na polisi wakifanya kazi yao kwa mbali.
 Wachezaji wa Mbeya City fc wakiwa wanashangilia Ushindi

Hapatoshi Mashabiki wa Mbeya City Fc wakishangilia ushindi 

Kikosi cha Mbeya City Fc wakiwa wanasali kabla ya Mechi kuanza 
 Kikosi cha Tanzania Prisons wakiwa katika picha ya pamoja.
 Hili Ni Benchi la Timu ya Mbeya City Fc Likiongozwa na Kocha mkuu wa Timu hiyo Juma Mwambusi


Benchi la Tanzania Prisons

Waamuzi wakiongozwa na Izrael Nkongo wakiwa wanaamua timu ipi iianze mlango gani
 Mashibiki wakiwa wanaingia uwanjani 

 Mashabiki wakiwa wanashangilia mechi 
 Wadau mbalimbali na mashabiki wakifuatilia mpira kwa umakini 

Waandishi wa Habari wakifuatilia Mechi.

No comments:

Post a Comment