KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, December 14, 2013

Mertesacker amfokea Mesut Ozil baada ya kichapo cha mabao 6-3

Don't mention the score!

 Mertesacker baada ya mchezo wa kichapo kutoka kwa Manchester City cha mabao 6-3 alikerwa na kitendo cha Mesut Ozil kwa kutokuwapungia mikono mashabiki wa Arsenal

Per Mertesacker na Mesut Ozil walionekana dhahiri kufokeana wakati wakiondoka uwanjani Etihad baada ya kulambwa boko 6-3.
Mertesacker alimfuata Ozil ambaye ni mmoja wa marafiki zake wakubwa uwanjani na kummnyooshea kidole usoni huku akifoka baada ya filimbi ya mwisho.
Hiyo inaelezwa kuwa ni tabia ya Ozil ya kutokuwapungia mikono mashabiki wa timu hiyo wanapokuwa katika viwanja vya ugenini huku bosi wake Arsene Wenger akikaririwa akisema
'Huyu mjerumani atabadili hiyo tabia msiwe na shaka'
Pointing the finger: Per Mertesacker (right) explodes at Mesut Ozil following Arsenal's 6-3 defeat against Manchester City
Boiling over: Mertesacker continues to rage against his close pal
Setting an example: Jack Wilshere (left) and Mertesacker salute the Arsenal fans
Jack Wilshere na Mertesacker wakiwawapungia na kupiga makofi kwa mashabiki wao baada ya mchezo.

Pamoja na hali hiyo wawili hao ambao wanachezea timu moja ya taifa ya Ujerumani inaarifiwa kuwa ni marafiki wakubwa.

A right earful: Mertesacker continues to rage
A right earful: Mertesacker continues to rage

Stunning result: Manchester City blew open the title race by thumping the leaders

No comments:

Post a Comment