KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, July 11, 2014

Luis Suarez ajiunga na Barcelona kwa ada ya pauni milioni 75

Endapo jezi hii itavaliwa tayari mpango mzima kwa Barcelona kutengeneza fedha kwa kutengenza jezi hii ya Suarez namba 9 mgongoni
Luis Suarez ameondoka Liverpool na kukamilisha mipango ya kujiunga na Barcelona kwa pauni milioni £75.
Liverpool imeshakamilisha mambo ya msingi katika kukamilisha rekodi ya uhamisho ya klabu yao kwa Barcelona kwa muuza mshambuliaji Luis Suarez.
Mazungumzo rasmi yalianza karibu wiki sasa na yaonekana kwenda vizuri tangu kuanza kwake ambapo klabu hiyo ya Katalunya imekubali kuvunja mkataba wa mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uruguay kwa kiasi kinacho aminika kuwa ni pauni milioni £75.
Thumbs up: Luis Suarez has completed a £75million move to Barcelona from Liverpool
Dole gumba mia mia: Luis Suarez amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Barcelona wenye thamani ya pauni milioni £75 akitokea Liverpool
Banned: Luis Suarez has seen his appeal against his four-month ban for biting Giorgio Chiellini rejected
Kifungo: Rufaa ya Luis Suarez ya kupinga adhabu ya kufungiwa kucheza soka kwa miezi minne kwa kumng'ata Giorgio Chiellini imegonga mwamba

Kumekuwepo na muendelezo wa mazungumzo ya makubaliano juu ya namna ya kulipana wakati ambapo Liverpool wakionekana kutaka huduma ya mshambuliaji wa kimataifa wa Chile Alexis Sanchez ambaye tayari ameshakamisha mipango ya kujiunga na Arsenal

No comments:

Post a Comment