KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Monday, August 25, 2014

Lukas Podolski awaaga rasmi Arsenal

Podolski aaga rasmi
Lukas Podolski ameonekana akionyesha ishara ya kumaliza utumishi wake wa soka katika klabu yake ya Arsenal kufuatia mshambuliaji huyo kutupia ujumbe katika ukurasa wake wa Instagram akiwatakia kila la kheri Arsenal.

Akiwa na mafanikio ya kutwaa taji la dunia akiwa na Ujerumani nchini Brazil, mshambuliaji huyo amekuwa akifukuziwa na vilabu mbalimbali vikiwemo Juventus na kigogo cha nchini Uturuki Galatasaray.

Katika wiki za hivi karibuni wenyewe Arsenal wamekuwa katika mpango wa kumuuza mshambuliaji huyo baada ya kumsajili Alexis Sanchez kutoka kwa Barcelona.

No comments:

Post a Comment