Nyota wa Real Madrid wawasili na kuongelea ziara yao nchini Tanzania
Mratibu ziara ya Real Madrid Denis Ssebo akiongea na waandishi wa habari juu ya ziara ya Magwiji wa Real Madrid ambao watacheza mchezo wa kirafiki na wachezaji wa zamani nyota wa Tanzania mchezo ambao utapigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hapo kesho. kulia kabisa ni Christian Carembeu, Luis Figo katikati na Fernando Sanz Duran wapili kutoka kushoto.
Kocha Jamhuri Kihwelu wa Tanzania Eleven akiongea mbele ya waandishi wa habari juu ya maandalizi ya kikosi chake
Christian Sanz naye alipata nafasi ya kuongea na wanahabari
Christian Carembeu katikati naye alipata nafasi ya kuongea na wanahabari.
No comments:
Post a Comment