KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Friday, September 19, 2014

UWANJA WA WEMBLEY WATANGAZWA KUWA MWENYEJI WA FAINALI YA ULAYA 2020

Uwanja wa Wembley jijini London utakuwa mwenyeji wa michezo ya nusu fainali na fainali ya michzo ya Euro 2020 baada ya uwanja huo wa taifa wa Uingereza kuushinda uwanja wa ulioko katika jijini la Munich nchini Ujerumani wa Allianz Arena katika mchakato wa kura wa UEFA ExCo jijini Geneva Uswiz leo Ijumaa

England itakuwa mwenyeji wa michezo mingine mikubwa baada ya uwanja wa Wembley kuzawadiwa michezo ya fainali na nusu fainali ya Euro 2020 machakato wa kurea ukifanyika hii Geneva Uswiz.

Jiji la Munich lilijotoa katika hatua  za mwisho kuwania nafasi hiyo na kupelekea jijini London kupitia uwanja wa Wembley kupitishwa na kamati ya utendaji ya UEFA. 

Michuano hiyo katika hatua za awali itapigwa katika majiji 13 barani Ulaya
UEFA President Michel Platini announces that London will host the Euro 2020 final and semi-finals alongside host and former Miss Switzerland Melanie Winiger at the announcement in Geneva
Rais wa UEFA Michel Platini pichani kushoto akitangaza London kuwa mwenyeji wa fainali ya Euro 2020 pamoja na nusu fainali akiwa pamoja na mrembo za zamani wa Switzerland Melanie Winiger mjini Geneva
Platini poses with a smiling FA chairman Greg Dyke and the trophy after the announcement is made
Platini akitabasamu na mwenyekiti wa FA Greg Dyke akiwa na kikombe baada ya kumaliza zoezi la kutangaza London kuwa mwenyeji wa michezo ya fainali na nusu fainali ya EUFA 2010
The 90,000-seater stadium will host its first major tournament football since being redeveloped
Wembley una uwezo w kuchukua watazamaji 90,000 waliokaa
England manager Roy Hodgson in attendance at a FIFA/UEFA conference for national team bosses this week

EURO 2020 HOST CITIES 

FINAL AND SEMI-FINALS
Wembley Stadium, England
THREE GROUP GAMES AND ONE QUARTER-FINAL
Baku, Azerbaijan
Munich, Germany
Rome, Italy
St Petersburg, Russia
THREE GROUP GAMES AND ONE LAST 16 MATCH
Dublin, Republic of Ireland
Glasgow, Scotland
Copenhagen, Denmark
Bucharest, Romania
Amsterdam, Holland
Bilbao, Spain
Budapest, Hungary
Brussels, Belgium

No comments:

Post a Comment