Cesc Fabregas |
Andrea Pirlo |
kiungo wa
kimataifa wa timu ya taifa ya Hispania Cesc Fabregas ametangaza kuwa kunahitajika
hadhari kwa timu yake kama inataka kuifunga Italia katika mchezo wa fainali wa
euro 2012 kumdhibiti Andrea Pirlo.
Kiungo huyo
ambaye amekuwa akiicheza vizuri katika kikosi cha Azzurri alikuwa pia kwenye
kiwango katika mchezo wa jana ambapo Italia ilichomoza na ushindi wa mabao 2-1 dhidi
ya Ujerumani.
Fabregas anaogopa
uwezo wa kiungo huyo wa Juventus alioonyesha katika michuano hii ya EURO 2012
na kueleza kuwa alivutiwa na kiwango cha Mario Balotelli dhidi ya Ujerumani.
Ananukuliwa Fabregas
amenukuliwa akisema
"tunalazimika
kumdhibiti Pirlo".
"Balotelli
ni mchezaji mzuri na alionyesha hilo jana. Alifunga mabao mawili dhidi ya
Ujerumani kwenye nusu fainali Germany.
Del Bosque yuko tayari kukabili kingo
cha Italia.
Kocha Del Bosque wa Hispania |
Kocha wa
timuya taifa ya Hispania ameanza kuonyesha wasiwasi juu ya uwezo wa La Roja
timu ya taifa ya Italia kuelekea kwenye mchezo wa fainali ya jumapili ya Euro
2012 na kusema bado kuonyesha kile ambacho kipo katika uwezo wa kikosi licha ya
kuendelea kutawala michezo mbalimbali.
Kocha wa Hispania
Vicente del Bosque amesema kikosi chake kinapaswa kuwa sawasawa sehemuya kiungo
katika mchezo wa jumapili wa fainali.
La Roja ilikuwa
katika wakati mgumu jumatano usiku kiasi mikwaju ya penati kuamua matokeo ya
mchezo baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya majirani zao Ureno.
No comments:
Post a Comment