KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Tuesday, July 3, 2012

Shirikisho la Soka Kenya lamsimamisha makamu mwenyekiti wake

Mwenyekiti wa FKF Sam Keengu Nyamwea akiwa Rais wa FIFA Blatter
  Shirikisho la soka nchini Kenya (FKF) limemsimamisha kazi makamu mwenyekiti wa shirikisho hilo Sammy
Sholei pamoja na mwenyekiti wa tawi la FKF mjini Nairobi Dan Shikanda
Sammy Sholei
Kusimamishwa kwao kazi kunaanza mara moja na kwamba hawatakiwi kujihusisha na shughuli zozote za chama hicho kulingana na majukumu ya nafasi zao.
 
Taarifa kwa vyombo vya habari ilisainiwa na mwenyekiti wa FKF Sam Keengu Nyamweya imesema wawili hao wanatuhuma za kufanya mambo kinyume na taratibu na miongozo ya shirikisho la soka duniani kupeleka kesi mahakama kuu.
Katika kikao cha haraka kilicho pangwa na FKF na kuitishwa kama kikao cha dharura cha (NEC) kimeamua kumteua kaimu makamu mwenyekiti Robert
Asembo kushika nafasi ya Sholei.
Shikanda nafasi yake itakaimiwa na Michael Ouma ambaye atafanya kazi mbili ikiwa ni pamoja na makamu mwenyekiti wa FKF tawi la Nairobi.
“Owing to the deliberations touching on and upon the perusal of Court
Papers in Civil Case No 3480 of 2012 filed at Milimani Commercial
Courts Nairobi by Sammy Sholei and Dan Shikanda against the
Federation, the FKF NEC resolved that since the implications of the
said Court case and the orders thereto are serious and grave
violations of both the FIFA and Football Kenya Federation
Statutes,”said the statement.
“The move, added the statement, to challenge and stop the FKF SGM
and Constitution by the two officials naturally attracts sanctions on
the two which the FKF NEC has resolved to take action accordingly”

No comments:

Post a Comment