KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Wednesday, August 29, 2012

Kiungo wa Liverpool Lucas aanza msimu kwa mkosi

Kiungo wa Liverpool Lucas Leiva atakuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitatu ya msimu baada ya kupata majeraha katika paja lake yaliyotokana na mazoezi wakati wakijiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Manchester City.
Lucas Leiva atakosekana kwa miaezi mitatu hii ni kwa mujibu wa meneja wake manager Brendan Rodgers. Mbrazil huyo kiungo wa chini hakumudu kuendelea na mchezo baada ya dakika katika mchezo dhidi ya Manchester City uliopigwa jumapili.
Lucas amepata maumivu hayo wakiwa katika muda wa kupasha misuli moto kabla ya kuivaa Manchester City, lakini hata hivyo alianzishwa katika mchezo huo licha ya maumivu aliyoyapata na kuishia kunako dakika ya nne ya mchezo ambapo alibadilishwa na kuingizwa Jonjo Shelvey.
Hilo ni pigo kubwa kwa Lucas, ambaye hivi karibuni amerejea kutoka katika maumivu mengine ya msuli ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika sehemu kubwa ya msimu uliopita.
Hata Rodgers anaamini kuwa Lucas anaweza kuponya haraka majeraha yake na kuongeza kuwa ni mchezaji ambaye huwa anaponya majeraha yake haraka hivyo anamtegemea kuwa naye mapema zaidi ya hapo
Lucas atakosa michezo kadhaa ukiwemo mchezo dhidi ya  Manchester United maarufu kama ‘Merseyside derby’. Kupitia mtandao wa Twitter Lukas ameonyesha kusikitishwa kwake na majeraha mengi aliyoyapata.
“sina la kusema kwasasa kwa jinsi ninafikiria , ni ngumu kuelezea kwa sasa siko sawasawa lakini naamini siku njema zitawadia siku moja”
Kiungo wa Liverpool Lucas Leiva atakuwa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitatu ya msimu baada ya kupata majeraha katika paja lake yaliyotokana na mazoezi wakati wakijiandaa kwa ajili ya mchezo dhidi ya Manchester City.
Lucas Leiva atakosekana kwa miaezi mitatu hii ni kwa mujibu wa meneja wake manager Brendan Rodgers. Mbrazil huyo kiungo wa chini hakumudu kuendelea na mchezo baada ya dakika katika mchezo dhidi ya Manchester City uliopigwa jumapili.
Lucas amepata maumivu hayo wakiwa katika muda wa kupasha misuli moto kabla ya kuivaa Manchester City, lakini hata hivyo alianzishwa katika mchezo huo licha ya maumivu aliyoyapata na kuishia kunako dakika ya nne ya mchezo ambapo alibadilishwa na kuingizwa Jonjo Shelvey.
Hilo ni pigo kubwa kwa Lucas, ambaye hivi karibuni amerejea kutoka katika maumivu mengine ya msuli ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika sehemu kubwa ya msimu uliopita.
Hata Rodgers anaamini kuwa Lucas anaweza kuponya haraka majeraha yake na kuongeza kuwa ni mchezaji ambaye huwa anaponya majeraha yake haraka hivyo anamtegemea kuwa naye mapema zaidi ya hapo
Lucas atakosa michezo kadhaa ukiwemo mchezo dhidi ya  Manchester United maarufu kama ‘Merseyside derby’. Kupitia mtandao wa Twitter Lukas ameonyesha kusikitishwa kwake na majeraha mengi aliyoyapata.
“sina la kusema kwasasa kwa jinsi ninafikiria , ni ngumu kuelezea kwa sasa siko sawasawa lakini naamini siku njema zitawadia siku moja”

No comments:

Post a Comment