KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE rockersports212@yahoo.com AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607

Saturday, August 25, 2012

YANGA NA POLISI KULE RWANDA, SIMBA NA MATHARE ARUSHA KESHO.


 Baada ya hapo jana mabingwa wa michuano ya kombe la kagame Yanga kuanza vizuri ziara yake nchini humo kwa kuwafunga Rayol sports mabao 2-0 ,kikosi hicho kitashuka dimbani tena hapo kesho kwa kucheza na maafande wa polisi.
Yanga wametua nchini Rwanda jumanne ya wiki hii ambapo alhamis walikutana na rais wa nchi hiyo Paul Kagame katika ikulu ya Rwanda wameelekea nchini humo kwa ziara ya wiki moja kama sehemu ya kujiandaa na michuano ya ligi kuu ya Tanzania bara iliyopangwa kuanza kutimua vumbi September 15.
Akizungumza na ROCKERSPORTS moja kwa moja kutoka nchini Rwanda kocha msaidizi wa yanga Fred Felix Minziro amesema kwamba ziara yao ya nchini Rwanda imekuwa nzuri

Bofya hapa ARUSHA
Tukitoka nchini Rwanda  tuelekee katika jiji la Arusha ambapo mabingwa wa soka Tanzania bara simba hapo kesho nao watakuwa katika mchezo wao wa kwanza wa kimataifa wa kirafiki tokea walipoweka kambi jijini humo  kwa kucheza na timutimu ya Mathare united kutoka nchini Kenya.
Menejea wa simba Nico nyagawa ameongea na ROCKERSPORTS toka jijini Arusha kuwa wanaamicni mchezo huo wa kesho utatumika kama sehemu ya mwalimu wao Milovan Circovic kukiangalia kikosi chake kama kipo vizuri kabla ya kuwakabili Azam united katika mchezo wa ngao ya Jamii mapema mwezi ujao.
Bofya hapa

No comments:

Post a Comment